MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,207
- 2,387
wajisikie tu wakitaka watoke hata kwenye nchi hii watafute kwa kukaa
haami mtu hapa,eti waondoke ili muirarue nchi, mtabanwa mpaka mtaachia
wajisikie tu wakitaka watoke hata kwenye nchi hii watafute kwa kukaa
mie ninacho jiuliza, inawasaidia au wanapoteza muda wao ?. Rais akiisha kuwa rais kwa mujibu wa katiba ndio basi tena. Mbaya zaidi wabunge wa ccm ndio wengi zaidi. Kwa mujibu wa bunge tulilo nalo chadema wana asilimia 14% tu ya wabunge wote. Kwa mazingira haya nguvu hawana , kwani kwa situation iliyotokea zanzibar wao walikuwa wamepishana kidogo sana kwenye baraza la wawakilishi. Na isitoshe wao wameapa bungeni kuitii katiba, na sasa katiba ndio iliyomweka madarakani rais aliyekuwepo, sasa hapo si kuwadanganya wananchi bure . Na isitoshe mbowe mwenyewe hivi sasa kama kiongozi wa upinzani hivi sasa anatembelea gari ya serikali stk 1748, sasa na gari si angesema hataki kama kweli yupo kwa ajili ya wananchi?, ha ha ha kweli wajinga wali wao, thinktwice.
Ujinga unao wewe, who is you mpk unamuita Lisu,Mbowe,Mnyika,Zitto, etc, wajinga? Wamechaguliwa na wasomi watupu sasa sie wasomi tunachagua wajinga wenzetu au?Tena naomba utukome maana they are doing that on behalf of Tanzanians and not on behalf of Mafisadi. That is what we expected from them and make yourself ready for the next difficult situations to that mama(spika) (QUOTE).
http://twitter.com/home?status=Wabu...nje-kususia-hotuba-ya-rais-2.html#post1277497
Wanaweza kuwa wasomi lakini nakuthibitishia usomi siyo kila kitu. Unaweza ukawa msomi na ukakosa busara na hekima. Wako wengi wa aina hii. Kama hawamtaki JK waondoke na nchi hii. Wasiendelee kukaa huko Dodoma, na wala wasipokee posho za ubunge ili tujue kuwa hao siyo wanafiki.
Mimi siyo mbashiri lakini nawathibitishieni huo ndio mwanzo wa mwisho wa CHADEMA. In three years time hakutakuwa na CHADEMA. Nyie ngojeni muone na mtaikumba thread hii.
Waondoke na bungen kama vipi tutawaheshimu zaidi awakumbuki jamaa zao cuf walichapa mwendo
<br />Wabunge wa CHADEMA wamethibitisha ujinga mkubwa walio nao. Haiwasaidii na wala haitasaidia CHADEMA. The publc is against them and CHADEMA. Tanzania bila CHADEMA inawezekana sana tena sana mara elfu.
Wabunge wa CHADEMA wamethibitisha ujinga mkubwa walio nao. Haiwasaidii na wala haitasaidia CHADEMA. The publc is against them and CHADEMA. Tanzania bila CHADEMA inawezekana sana tena sana mara elfu.
Wewe ndio mjinga mkubwa. Kama huna cha kuongea bora ukae kimya
Hii ni aibu kwa Kiwete kwa Speech yake kususiwa na CHADEMA.
Hii ni message nzito inapelekwa kwa Kikwete,CCM na Serikali yake kuwa hawakuingia madarakani KIHALALI.Hilo wanalijua.
CUF walifanya hivo 1995 na 2000. Lakini leo kwasababu wamefunga ndoa na CCM wanalaumu CHADEMA kuwa ni kosa kufanya hivo. Huo ni unafiki wa hali ya juu. Sasa hivi UPINZANI WA KWELI UKO CHADEMA. CUF,TLP,NCCR ni mapandikizi ya CCM tu!
Mie ninacho jiuliza, inawasaidia au wanapoteza muda wao ?. Rais akiisha kuwa Rais kwa mujibu wa katiba ndio basi tena. Mbaya zaidi wabunge wa CCM ndio wengi zaidi. Kwa mujibu wa bunge tulilo nalo CHADEMA wana asilimia 14% tu ya wabunge wote. Kwa mazingira haya nguvu hawana , kwani kwa situation iliyotokea zanzibar wao walikuwa wamepishana kidogo sana kwenye baraza la wawakilishi. Na isitoshe wao wameapa bungeni kuitii katiba, na sasa katiba ndio iliyomweka madarakani Rais aliyekuwepo, sasa hapo si kuwadanganya wananchi bure . Na isitoshe Mbowe mwenyewe hivi sasa kama kiongozi wa upinzani hivi sasa anatembelea gari ya serikali STK 1748, sasa na gari si angesema hataki kama kweli yupo kwa ajili ya wananchi?, ha ha ha kweli wajinga wali wao, THINKTWICE.
tHuko EU watashangaa nyie mna wabunge 45 out of 239 halafu mnasema mlishinda urais hehehe
Ndio ukomavuuuu, nadhani hapo JK anahutubia ila roho imamuuma, sese huku sema ujinga.Pale ni bungeni hawezi toa vijembe kama alivyokuwa anaongea na wazee wa dar es salaam. Plale anatakiwa atoe muelekeo wa serikari kwa 5 years
Wabunge wa CHADEMA wamethibitisha ujinga mkubwa walio nao. Haiwasaidii na wala haitasaidia CHADEMA. The publc is against them and CHADEMA. Tanzania bila CHADEMA inawezekana sana tena sana mara elfu.
So what!There are currently 227 users browsing this thread. (82 members and 145 guests)