YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
Ukifuatilia utendaji wa wabunge wa CHADEMA utagundua kuwa hawaelewi maana ya mbunge wa upinzani ni nini? Kwao mbunge wa upinzani ni mwakilishi wa CHADEMA bungeni sio mwakilishi wa wananchi bungeni.Muda mwingi husemea mambo ambayo CHADEMA inayataka bungeni badala ya kuongelea mambo ambayo wananchi wa majimbo yao wanayahitaji wakisahau kuwa waliowapigia kura ni wananchi ambao wengi si wana chadema
Muda mwingi hata katika hoja zao nyingi hazilengi kusemea majimbo yao hujikita katika mambo yasiyohusiana na majimbo muda mwingi.Huwa wakipoteza muda mwingi kuongelea bungeni ajenda zisizohusu majimbo yao.
Pia wabunge wa CHADEMA uhusiano wao na viongozi wa serikali si mzuri kwani huenda zaidi na UCHADEMA badala ya kushirikiana na serikali kutatua kero zilizopo.Wanapenda zaidi kujionyesha wao kama wapinzani kwa viongozi wa serikali badala ya kujionyesha kwa viongozi wa serikali kama wawakilishi wa wananchi ambao wako tayari kufanya kazi kwa moyo mmoja na ushirikiano na viongozi wa serikali ili kuwaletea maendeleo wananchi.
Viongozi wengi wa serikali hawapendi kukutana na Wabunge wa CHADEMA kwa kuwa hawako friendly wagomvi gomvi tu hata kwenye mambo ambayo mtu wa kawaida mwenye akili zake asingetarajia.
Kama kuna semina elekezi wabunge wa CHADEMA wanahitaji ni namna ya kufanya kazi na viongozi wa serikali kuanzia wa vijiji hadi taifa.
Ni wajibu wa CHADEMA Kutumia ruzuku zake kufunza wabunge wake waelewe namna ya kutoa hoja za kiungwana iwe bungeni,au mje ya bunge na namna ya Kuheshimu viongozi wa serikali na kuwa rafiki nao katika utendaji kazi na pia kuwa waungwana wawapo bungeni na nje ya bunge.Wasionekane kama wahuni fulani.
Mbunge Lema,Sugu,Mchungaji Msigwa,Mnyika na Tundu Lissu,Mdee na kubenea wanahitaji sana semina elekezi.
Bila kuwa mnafiki niseme wazi Mbowe na wabunge wa CUF wanajitahidi sana.Wana uwezo mkubwa wa kufanya kazi na viongozi wa serikali na kuwapa ushirikiano wenye heshima .
Ila hao wengine niseme wazi wanaifanya hata CHADEMA kionekane kama chama cha vibaka na wavuta bangi.
Mbowe wape semina elekezi
Muda mwingi hata katika hoja zao nyingi hazilengi kusemea majimbo yao hujikita katika mambo yasiyohusiana na majimbo muda mwingi.Huwa wakipoteza muda mwingi kuongelea bungeni ajenda zisizohusu majimbo yao.
Pia wabunge wa CHADEMA uhusiano wao na viongozi wa serikali si mzuri kwani huenda zaidi na UCHADEMA badala ya kushirikiana na serikali kutatua kero zilizopo.Wanapenda zaidi kujionyesha wao kama wapinzani kwa viongozi wa serikali badala ya kujionyesha kwa viongozi wa serikali kama wawakilishi wa wananchi ambao wako tayari kufanya kazi kwa moyo mmoja na ushirikiano na viongozi wa serikali ili kuwaletea maendeleo wananchi.
Viongozi wengi wa serikali hawapendi kukutana na Wabunge wa CHADEMA kwa kuwa hawako friendly wagomvi gomvi tu hata kwenye mambo ambayo mtu wa kawaida mwenye akili zake asingetarajia.
Kama kuna semina elekezi wabunge wa CHADEMA wanahitaji ni namna ya kufanya kazi na viongozi wa serikali kuanzia wa vijiji hadi taifa.
Ni wajibu wa CHADEMA Kutumia ruzuku zake kufunza wabunge wake waelewe namna ya kutoa hoja za kiungwana iwe bungeni,au mje ya bunge na namna ya Kuheshimu viongozi wa serikali na kuwa rafiki nao katika utendaji kazi na pia kuwa waungwana wawapo bungeni na nje ya bunge.Wasionekane kama wahuni fulani.
Mbunge Lema,Sugu,Mchungaji Msigwa,Mnyika na Tundu Lissu,Mdee na kubenea wanahitaji sana semina elekezi.
Bila kuwa mnafiki niseme wazi Mbowe na wabunge wa CUF wanajitahidi sana.Wana uwezo mkubwa wa kufanya kazi na viongozi wa serikali na kuwapa ushirikiano wenye heshima .
Ila hao wengine niseme wazi wanaifanya hata CHADEMA kionekane kama chama cha vibaka na wavuta bangi.
Mbowe wape semina elekezi