Ndoto hizo,Ndugu Chadema itapata wabunge wasiozidi wawili/ watatu tena kwa tabu sana. Mwenye uhakika wa jimbo ni Prof Jay sababu hana siasa za matusi, wengine labda wale ambao wanaunga mkono juhudi lakini hawajahama! NCCR na ACT ndio wataongoza jahazi la upinzani. Tunza hii comment!
Kuwaondoa CCM na Polisi wao wala hata hakuhitaji maombi, itakua ni matumizi mabaya ya Maombi! Hawa wakijifanya kudinda basi unatakiwa uwadindishie na uingize kabisa kipigo hadi kwa bata na kukuNchi zetu hizi zinahitaji maombi. Unafikiri ni kwanini hawataki uwepo wa tume huru ya uchaguzi? Angalia jinsi vyombo vya ulinzi na usalama vilivyoaminishwa kuwa nchi hii ni ya chama kimoja. Ubabe mwingi kwenye kuikandamiza demokrasia, nk
Wanaishi kwa aibu sana hawa watu na sijui kama wako comfortable kujichanganya na raia katika majimbo yao.
Kama TL atakavyodondoshwa na JPM ndiyo itakuwa DemocracyKama ni kweli, hiyo ndio democracy
Usijiingize kwenye siasa za majitakaSasa mbona Erythrocyte kapigwa chini wakati ahuyu jamaa nimpambanaji wa kweli
weka ushahidiSophia amembwaga Erythrocyte
Pole ujue hata unaowashabikia watabwagwa kama Sophia alivyokutenda. Ulidhani kelele za hapa JF ndiyo ushindi? Thubutu na JPM atafanza yake subiriweka ushahidi
Ni ujinga kutegemea kushinda kwa nguvu ya Dola.Ndugu Chadema itapata wabunge wasiozidi wawili/ watatu tena kwa tabu sana. Mwenye uhakika wa jimbo ni Prof Jay sababu hana siasa za matusi, wengine labda wale ambao wanaunga mkono juhudi lakini hawajahama! NCCR na ACT ndio wataongoza jahazi la upinzani. Tunza hii comment!
haya ni makapi ya Slaa yaliyobakia humu JFNi ujinga kutegemea kushinda kwa nguvu ya Dola.
Ni wewe au leo wamekuibia id yako?Nchi zetu hizi zinahitaji maombi. Unafikiri ni kwanini hawataki uwepo wa tume huru ya uchaguzi? Angalia jinsi vyombo vya ulinzi na usalama vilivyoaminishwa kuwa nchi hii ni ya chama kimoja. Ubabe mwingi kwenye kuikandamiza demokrasia, nk
Hahahah dah akili ikihamia kwny Chombingo ni tabu sana.Ndugu Chadema itapata wabunge wasiozidi wawili/ watatu tena kwa tabu sana. Mwenye uhakika wa jimbo ni Prof Jay sababu hana siasa za matusi, wengine labda wale ambao wanaunga mkono juhudi lakini hawajahama! NCCR na ACT ndio wataongoza jahazi la upinzani. Tunza hii comment!
Tuelekeako siko...nahisi watu kuwa na hasira fulani hivi..Watu wameshaanza kuipuuza tume ya uchaguzi jambo ambalo ni baya, ubabe una mwisho tena mwisho mbaya. Nguvu ya umma ikiamua kuchukua nafasi yake tume haitafua dafu lazima aliyeshinda atatangazwa.