Wabunge wa CHADEMA walio karantini waazimia kutorudisha posho. Kurudi Bungeni siku 14 zikiisha

Influenza

JF-Expert Member
Jul 1, 2018
1,445
3,403
CHADEMA imeazimia kuyapuuzia maagizo ya Spika Job Ndugai, aliyewataka Wabunge wote wa chama hicho wasiohudhuria vikao vya Bunge kwa sasa kurudisha posho walizolipwa, ambapo kwa umoja wao wanadaiwa zaidi ya Tsh. Milioni 110

Chama hicho kimesema madai ya Spika kuwa Wabunge wake waliopewa fedha za kujikimu Dodoma ni wezi, ni ya uongo na kimetoa rai kwa Wabunge kutokutekeleza yale Spika aliyoelekeza

Akitoa taarifa hiyo, Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema pamoja na hayo Chama kimewataka Wabunge waliotii maagizo ya kujitenga kumalizia siku zilizobaki kisha kurejea Bungeni kama hali ya #COVID19 itakuwa inatia matumaini

Itakumbukwa kuwa Mei Mosi mwaka huu Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe alitoa waraka ulionesha kuwa Wabunge wa CHADEMA waliamua kujiweka Karantini kwa siku 14
 
CHADEMA imeazimia kuyapuuzia maagizo ya Spika Job Ndugai, aliyewataka Wabunge wote wa chama hicho wasiohudhuria vikao vya Bunge kwa sasa kurudisha posho walizolipwa, ambapo kwa umoja wao wanadaiwa zaidi ya Tsh. Milioni 110

Chama hicho kimesema madai ya Spika kuwa Wabunge wake waliopewa fedha za kujikimu Dodoma ni wezi, ni ya uongo na kimetoa rai kwa Wabunge kutokutekeleza yale Spika aliyoelekeza

Akitoa taarifa hiyo, Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema pamoja na hayo Chama kimewataka Wabunge waliotii maagizo ya kujitenga kumalizia siku zilizobaki kisha kurejea Bungeni kama hali ya #COVID19 itakuwa inatia matumaini

Itakumbukwa kuwa Mei Mosi mwaka huu Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe alitoa waraka ulionesha kuwa Wabunge wa CHADEMA waliamua kujiweka Karantini kwa siku 14
Saawa
 
CHADEMA imeazimia kuyapuuzia maagizo ya Spika Job Ndugai, aliyewataka Wabunge wote wa chama hicho wasiohudhuria vikao vya Bunge kwa sasa kurudisha posho walizolipwa, ambapo kwa umoja wao wanadaiwa zaidi ya Tsh. Milioni 110
SIHASA BHANA, SASA MNANG'ANG'ANIA MIHELA YOTE HIYO AISEE!! SI MNGERUDISHA TU ZIJE ZISAIDIE RAIA WA HALI YA CHINI KAMA SISI?

FUATENI MAELEKEZO YA KIONGOZI WENU AMBAE NI SPIKA. RUDISHE MIHELA HIYOO
 
.
FB_IMG_15890502447690498.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
SIHASA BHANA, SASA MNANG'ANG'ANIA MIHELA YOTE HIYO AISEE!! SI MNGERUDISHA TU ZIJE ZISAIDIE RAIA WA HALI YA CHINI KAMA SISI?

FUATENI MAELEKEZO YA KIONGOZI WENU AMBAE NI SPIKA. RUDISHE MIHELA HIYOO
Sio sihasa ni siasa rudi shule mkuu
 
Zitafyekwa juu kwa juu tu hapo wala haihitaji kutumia nguvu.

Huwezi kutunishiana misuli na ofisi inayoidhinisha malipo yako, kibongobongo hata kama ni haki yako utaumia tu hata uwe ni Prof wa sheria.

Wamuulize Prof Safari kama alipata stahiki zake halali baada ya kutimuliwa pale Chuo cha Diplomasia.
 
CHADEMA imeazimia kuyapuuzia maagizo ya Spika Job Ndugai, aliyewataka Wabunge wote wa chama hicho wasiohudhuria vikao vya Bunge kwa sasa kurudisha posho walizolipwa, ambapo kwa umoja wao wanadaiwa zaidi ya Tsh. Milioni 110

Chama hicho kimesema madai ya Spika kuwa Wabunge wake waliopewa fedha za kujikimu Dodoma ni wezi, ni ya uongo na kimetoa rai kwa Wabunge kutokutekeleza yale Spika aliyoelekeza

Akitoa taarifa hiyo, Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema pamoja na hayo Chama kimewataka Wabunge waliotii maagizo ya kujitenga kumalizia sik
u zilizobaki kisha kurejea Bungeni kama hali ya #COVID19 itakuwa inatia matumaini

Itakumbukwa kuwa Mei Mosi mwaka huu Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe alitoa waraka ulionesha kuwa Wabunge wa CHADEMA waliamua kujiweka Karantini kwa siku 14
Mungu ibariki Chadema
 
Mbowe ni.msanii,akirudi huko bungeni alikokimbia watu wenye corona,ana uhakika gani kama hatoambukizwa
Maigizo yamebuma
 
CHADEMA imeazimia kuyapuuzia maagizo ya Spika Job Ndugai, aliyewataka Wabunge wote wa chama hicho wasiohudhuria vikao vya Bunge kwa sasa kurudisha posho walizolipwa, ambapo kwa umoja wao wanadaiwa zaidi ya Tsh. Milioni 110

Chama hicho kimesema madai ya Spika kuwa Wabunge wake waliopewa fedha za kujikimu Dodoma ni wezi, ni ya uongo na kimetoa rai kwa Wabunge kutokutekeleza yale Spika aliyoelekeza

Akitoa taarifa hiyo, Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema pamoja na hayo Chama kimewataka Wabunge waliotii maagizo ya kujitenga kumalizia siku zilizobaki kisha kurejea Bungeni kama hali ya #COVID19 itakuwa inatia matumaini

Itakumbukwa kuwa Mei Mosi mwaka huu Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe alitoa waraka ulionesha kuwa Wabunge wa CHADEMA waliamua kujiweka Karantini kwa siku 14
Msirudishe kwa nini wakati hamtimizi majukumu yenu wezi nyie ???
 
Back
Top Bottom