Uponyaji na uzima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 666
- 1,233
Sawa kuanzia sasa nenda lockdown 14 days.. ninaamini walioajiriwa hawatafukuzwa kazi.
Nasubiri amri ya "Mwamba" tu. Tuithibitishie dunia kuwa CCM huwa wanatuibia kuraSawa kuanzia sasa nenda lockdown 14 days.. ninaamini walioajiriwa hawatafukuzwa kazi.
Unawatukana viongozi wako wa chadema kwamba hawana akili timamuWenye akilo timamu hawahitaji lockdown. Unaweza jikinga bila lockdown.
Sent using Jamii Forums mobile app
Walijiongeza na sasa wameongezewa. Maisha yako kasi sana haya.Ni uamuzi wa busara, wameamua kujiongeza, sasa wale wakijani waendelee kutuwakilisha no retreat no surrender.
Rais kasema tuchape kazi yupo nao bega kwa bega.