KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Napenda kuwasikitikia vijana wenzangu mnaoshabikia bila kujua nini nyuma ya pazia na nini kinaendelea ndani ya cdm naona bado mnatumika bila kujijua mfano mnamuiga molemo wakati yeye anaposho na analipwa mshahara na chama na ni mwaka jana tu chama kilimuolea mke na kumpangishia nyumba.
vijana fuatilieni wenzenu waliopata mikasa wakiwa ndani ya harakati za chadema na chama kiliwapa msaada gani?mfano mdogo fuatili vijana waliokamatwa iramba maghalibi kwa kesi ya mauwaji halafu utajua undani wa cdm kwa vijana.
kuna mambo mengi sana nitawaletea ili myajue na muache kutumika maana najua mnasumbuliwa na emotion tu bila reason ya msingi
nimekaa kimya kwa mda ili kuona uelewa wenu na kama kunambunge hajalaani kitendo cha kuchangishwa aje hapa nimpe dose yake hapa
kinachowauma ni pale mnapoona wananchi kwa hiari yao wenyewe wanachangia M4C kwa amasa kubwa wakati nyie mpaka muwaandikie barua zenye vitisho wafanyabiashara wakubwa!Hivi ule mpango wa changia ccm uliozinduliwa pale jangwani,mkasajili na shortcode 155....... Na vijana wa bongofleva wakawapigia promo ulifia wapi?lengo lilifikiwa?