Wabunge wa CHADEMA, Halima Mdee na Esther Bulaya wajisalimisha kwa nabii Suguye, Waombewa na kupakwa mafuta ya " Mpenyo"

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,616
141,445
Wabunge wa Chadema waheshimiwa Halima Mdee na Esther Bulaya jana walikuwa katika kanisa la WRM kwa mtume na nabii Suguye ambako waliombewa na kupakwa mafuta ya Mpenyo.

Sasa ni wazi baada ya kupokea upako wa mafuta ya " mpenyo" wataweza kupenya mahali popote iwe bungeni, Ufipa au serikalini bila hofu yoyote kwa sababu Mungu yuko pamoja nao.

Wabarikiwe Halima Mdee na Esther Bulaya

Ibarikiwe Chadema

Source WRM tv

Ukinizingua Nitakuzingua!
 
Wabunge wa Chadema waheshimiwa Halima Mdee na Esther Bulaya jana walikuwa katika kanisa la WRM kwa mtume na nabii Suguye ambako waliombewa na kupakwa mafuta ya Mpenyo.

Sasa ni wazi baada ya kupokea upako wa mafuta ya " mpenyo" wataweza kupenya mahali popote iwe bungeni, Ufipa au serikalini bila hofu yoyote kwa sababu Mungu yuko pamoja nao.

Wabarikiwe Halima Mdee na Esther Bulaya

Ibarikiwe Chadema

Source WRM tv

Ukinizingua Nitakuzingua!

Nawashauri wasave fedha zao hizo watakazozipata kwenye kipindi hiki cha mwisho wao kisiasa ,2025 ndio Baba jeni bye bye!! wameuza utu wao kwa vipande 12 vya fedha inaonyesha walikuwa hawajajipanga kukaa kitaa,sasa washajua wameingia kimagumashi bungeni kwahiyo mwisho wao kisiasa ni 2025 bunge litakakapovunjwa,hivyo wahakikishe wanaondoka na pesa ya mtaji hiyo 2025 maana kwenye siasa ndio itakuwa mwisho wao.
 
Never heard of that wezereeee... kwahiyo Vaseline inasubiri???
 
Wabunge wa Chadema waheshimiwa Halima Mdee na Esther Bulaya jana walikuwa katika kanisa la WRM kwa mtume na nabii Suguye ambako waliombewa na kupakwa mafuta ya Mpenyo.

Sasa ni wazi baada ya kupokea upako wa mafuta ya " mpenyo" wataweza kupenya mahali popote iwe bungeni, Ufipa au serikalini bila hofu yoyote kwa sababu Mungu yuko pamoja nao.

Wabarikiwe Halima Mdee na Esther Bulaya

Ibarikiwe Chadema

Source WRM tv

Ukinizingua Nitakuzingua!
Masahihisho : Halima Mdee , Ester Bulaya na mamluki wengine walionunuliwa si Wabunge wa Chadema .

Ni vema kuiheshimu Chadema ili kuepusha vurugu hapa mtandaoni tukaishia kuchafua amani .

Nakupa onyo la mwisho
 
Wabunge wa Chadema waheshimiwa Halima Mdee na Esther Bulaya jana walikuwa katika kanisa la WRM kwa mtume na nabii Suguye ambako waliombewa na kupakwa mafuta ya Mpenyo.

Sasa ni wazi baada ya kupokea upako wa mafuta ya " mpenyo" wataweza kupenya mahali popote iwe bungeni, Ufipa au serikalini bila hofu yoyote kwa sababu Mungu yuko pamoja nao.

Wabarikiwe Halima Mdee na Esther Bulaya

Ibarikiwe Chadema

Source WRM tv

Ukinizingua Nitakuzingua!
walivunja katiba ya JMT, wa na yule mgogo dawa yao inachemka
 
Back
Top Bottom