Mwingereza
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 1,110
- 2,736
Wabunge 19 wa Chadema maarufu kama Covid 19 nao pia wajiandae kuondoka Bungeni kwani aliyewabeba ameondoka madarakani. Hatima yao kwa sasa itakuwa kwenye katiba , ambayo inasema wazi kabisa kwaba , mbunge anapokosa chama, anakuwa siyo mbunge tena.
COVID-19 waachie ngazi mara moja
COVID-19 waachie ngazi mara moja