econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,756
- 21,748
huo ni uongo yule aliyeshinda nkasi mbonahawajawahi kusema hawamtambui? yaani wanafichaficha tu
Yule wamemwacha amejifia mwenyewe. Nani anayemfahamu kwa Sasa Hana ushawishi wowote. Kuna watu hujishughulishi nao unawaacha tu wenyewe wanapotea. Yupo wapi nassari leo mtu aliyewapiga CCM hand down kwenye ubunge , lakini akaambulia kura 5 tu ndani ya CCM . Ni ujinga na kuwa na tamaa na unafiki leo anajifanya kubomoa ofisi za CHADEMA.