Hawana Ujanja huoRufaa zao zikikataliwa watahamia mahakamani na watakuwa wabunge wa mahakama ...kumbuka issue ya Zitto Kabwe
Mama kasema Hataki UCHAFU kutoka UPINZANI kama wa MWENDAZAKEWakiwaacha hawa 19 wakaendelea, chances ni kwamba hata kwenye Bunge lijalo la 2025-2030 hawa watgombea na kupata ubunge. Wakiwafukuza, wajue 2025 hawa watakuwa CCM na watakuwa wabunge kupitia CCM.
CHADEMA kama wanajipenda, wasiwafukuze hawa wabunge, kwani kwa kufanya hivyo, watakuwa wana-jeopardize chance yao ya kupata wabunge wengi 2025. Wasifanye hasira ya mkisi. Mimi nashauri wawaache na Mh. Tundu Lissu naomba zimfikie taarifa hizi
We nenda Facebook huko. Heri ungenyamaza kuliko kuchangia na kudhirirsha UPUMBAVU wakoNJAA HAINA BAUNSA
CHADEMA HALI YA UCHUMI ITAYUMBA IKIWAFUKUZA HAO WABUNGE NA KAMWE HAWAWEZI KUFANYA HIVYO
huo ni uongo yule aliyeshinda nkasi mbonahawajawahi kusema hawamtambui? yaani wanafichaficha tuCHADEMA haina mbunge yoyote hapo kwenye huo ukumbi wa mikutano ya CCM inayoongozwa na kigagula.
Hahaaaaaaaa,wewe werevu wako upo wapi simbilisiWe nenda Facebook huko. Heri ungenyamaza kuliko kuchangia na kudhirirsha UPUMBAVU wako
Zitto Kabwe hakwenda mahakamani!Rufaa zao zikikataliwa watahamia mahakamani na watakuwa wabunge wa mahakama ...kumbuka issue ya Zitto Kabwe
Kabwe hakuwa wa viti maalum.Rufaa zao zikikataliwa watahamia mahakamani na watakuwa wabunge wa mahakama ...kumbuka issue ya Zitto Kabwe
Mama hawezi kuita uchafu watu wake, kisa eti ni wapinzani. Tunamjua, watu wasimlishe maneno. Lete hapa ushahidi kwa haraka sana, kama ni kweliMama kasema Hataki UCHAFU kutoka UPINZANI kama wa MWENDAZAKE
Hao hawatakiwi hata kuwepo bungeni, Tulia sijui anawalinda hao wahujumu uchumi kwa sababu gani.
Hao hawatakiwi hata kuwepo bungeni, Tulia sijui anawalinda hao wahujumu uchumi kwa sababu gani.
Hawaoni umuhimu wa kukata rufaa kwenye Chama sababu kwanza wanajua walikuwa hawajafukuzwa bali yalikuwa ni mapendekezo ya kamati kwenda mkutano Mkuu ili maamuzi kamili yafikiwe, pili wanajua wakishafukuzwa rasmi wataenda mahakamani na wataendelea na ubunge wao.
Mbunge wa CCM huyo ! CHADEMA haina mbunge kwenye bunge la jiwehuo ni uongo yule aliyeshinda nkasi mbonahawajawahi kusema hawamtambui? yaani wanafichaficha tu
Gaidi yule Mkuu we ngoja uone mwisho wake ndio utashangaa
tatizo lipo kwa makamu mwenyekiti maana hatakuja wanapiga porojo tu lissu haji nchi leo wala kesho
Wakiwaacha hawa 19 wakaendelea, chances ni kwamba hata kwenye Bunge lijalo la 2025-2030 hawa watgombea na kupata ubunge. Wakiwafukuza, wajue 2025 hawa watakuwa CCM na watakuwa wabunge kupitia CCM.
CHADEMA kama wanajipenda, wasiwafukuze hawa wabunge, kwani kwa kufanya hivyo, watakuwa wana-jeopardize chance yao ya kupata wabunge wengi 2025. Wasifanye hasira ya mkisi. Mimi nashauri wawaache na Mh. Tundu Lissu naomba zimfikie taarifa hizi
s
asa wewe wa la 4b unaweza kubishana na phd? kwanza sheria hujui usifikiri yule spika ni kilaza anajuwa wapi pa kuchomokea na angekuwa nje ya sheria chadema wangekuwa wameshaenda mahakamani lakini wamekaa kimya ujue walikoroga wenyewe
Nadhani Mbowe na Mnyika wana maslahi fulani kwa wale covid 19!
Kachukue ruzuku kubwajinga la CHADOMO, Chama kisichojielewa kinachotumika na mabeberu
Mwenyekiti mwenyewe anaongea nao gerezani vizuri Tu wakienda kumtembelea
Tatu, hata Mwenyekiti mbowe anaongea nao vizuri Tu wanapoenda kumtembelea gerezani
Sisi huku kwenye mitandao ndio kelele nyingi
12m ndo za kumtisha Lissu? Yaani we kichwa chako kimejaa uji wa magimbiAcha aje apiganie ruzuku, halafu kwa Sasa join the chain erythrocyte kasema Kuna 12m nadhani lissu keshajua Kuna mpunga.
Karibu lissu karibu Amsterdam.