nyamakonge
JF-Expert Member
- May 28, 2013
- 363
- 130
Wakuu wabunge wa chama cha mizigo leo wanaongea point sana.wakiongozwa na zambi.hiv kumbe uwa wanajtambua sema wanapotezea tu.make leo wameungana na upnzan kutetea wananch.MAWAZIRI MIZIGO MKUCHICHA.CHIKAWE,NAODHA.NCHMBI NA KAGASHEKI LEO MNALO.