Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Tangu jana wabunge wa CCM kwa makusudi kabisa wameamua kulipotosha taifa na kuligawa makusudi na kuchochea chuki baina ya watanzania kwa mrengo wa ukabila kwa kusema kuwa Mkoa wa Kilimanjaro umependelewa katika idadi ya shule ambazo zitakarabatiwa , nimepitia kitabu husika na haya ndio majibu .
mkoa wa Mwanza zinakarabatiwa shule 98
mkoa wa mbeya 74
mkoa wa mara 71
manyara 66
tanga78
kilimanjaro100
shinyanga 77
kagera 75
hapo sijalinganisha uwiano wa shule kwenye mikoa husika kwani hizo takwimu hazipo naendelea kuzitafuta ili niweke na tuweze kufanya tathimini ya uhalisia .
Jumla ya shule za serikali ni 1200 kwa nchi nzima ,
mkoa wa Mwanza zinakarabatiwa shule 98
mkoa wa mbeya 74
mkoa wa mara 71
manyara 66
tanga78
kilimanjaro100
shinyanga 77
kagera 75
hapo sijalinganisha uwiano wa shule kwenye mikoa husika kwani hizo takwimu hazipo naendelea kuzitafuta ili niweke na tuweze kufanya tathimini ya uhalisia .
Jumla ya shule za serikali ni 1200 kwa nchi nzima ,