Wabunge wa CCM wanakwenda bungeni kufanya nini? Mbona wajenga hoja ni wapinzani pekee? Ni kweli kwamba wanadhibitiwa na viongozi wao?

Ukiwa mpinzani sio kupinga kila kitu. Sekta ya utalii inategemea uwepo wa watalii ambao wanatoka sehemu mbalimbali duniani,katika kipindi hiki Cha Corona mipaka ya nchi imefungwa. Je, huo utalii utafanyikaje?

Katika hili CHADEMA watumie akili za ziada ambazo hazitaacha shaka watu kuhoji uwezo wao wa kiuongozi na si kusema tu ilimradi kusema. Tangu mwanzo Rais Magufuli alikuwa na nia njema ya kuifanya Tanzania yenye uchumi wa viwanda ambayo Msigwa na wenzake walikuwa wanabeza.

Kama wangeshirikiana kujenga viwanda vingi leo hii uzalishaji ungefanyika nchini na hivyo katika majanga Kama haya tungeona unafuu ila leo anasema Mara sekta ya utalii imefanya Nini, si atoe mapendezo Nini kifanyike katika kipinda hiki?

Hayo mawazo mbadala ya CHADEMA yako wapi? Je, CHADEMA wa kupinga na kubeza wanahitajika bungeni?
Mkuu, umemsilikiza Msigwa kwenye hiyo clip au umeamua kuandika tu?
 
Mkuu, umemsilikiza Msigwa kwenye hiyo clip au umeamua kuandika tu?
Nimemsikiliza kwa makini ila nilichosikia ni malalamiko yasiyo na msingi bila kutoa mapendekezo ya Nini Cha kufanya. Tuwe tunasema ukweli ulio dhahiri na si kubeza. Sijakataa kwamba sekta ya utalii imeajiri watu wengi lakini sekta ya utalii inategemea na watalii, katika kipindi hiki Cha Corona nchi zimefunga mipaka watalii hawaji. Je, Nini kifanyike? Nisaidie kujibu Hilo tafadhali.

Nina uhakika hutoweza kunijibu mpaka umsikie Msigwa na Msigwa hatoweza kujibu. Suluhisho pekee ni nchi kujitegemea kwa maana ya ujenzi wa viwanda ambayo ingesaidia uzalishaji wa ndani kuongeza mapato na ajira katika kipindi hiki ambazo Corona kwa namna moja au nyingine itakuwa imeathiri biashara za nje
 
Nimemsikiliza kwa makini ila nilichosikia ni malalamiko yasiyo na msingi bila kutoa mapendekezo ya Nini Cha kufanya. Tuwe tunasema ukweli ulio dhahiri na si kubeza. Sijakataa kwamba sekta ya utalii imeajiri watu wengi lakini sekta ya utalii inategemea na watalii, katika kipindi hiki Cha Corona nchi zimefunga mipaka watalii hawaji. Je, Nini kifanyike? Nisaidie kujibu Hilo tafadhali.

Nina uhakika hutoweza kunijibu mpaka umsikie Msigwa na Msigwa hatoweza kujibu. Suluhisho pekee ni nchi kujitegemea kwa maana ya ujenzi wa viwanda ambayo ingesaidia uzalishaji wa ndani kuongeza mapato na ajira katika kipindi hiki ambazo Corona kwa namna moja au nyingine itakuwa imeathiri biashara za nje
Wewe kama siyo ndondocha basi utakuwa ulizaliwa na matatizo makubwa sana ya ubongo
 
Wewe kama siyo ndondocha basi utakuwa ulizaliwa na matatizo makubwa sana ya ubongo
Kuna watu wana ufahamu mkubwa wa uelewa kamanda, sio kila mtu wa kumchota akili kwa vi- clip. Jibu swali hili bila ushabiki wa Msigwa, Katika kipindi hiki cha Corona ambacho mipaka imefungwa na Kuna 'lockdown' nchi mbalimbali ambazo zilikuwa zinachangia kwa kiwango kikubwa kuleta watalii na kukuza utalii, je Nini kifanyike kukuza utalii?

Mind you, baadhi ya wafanyabiashara wa hotel huko Kilimanjaro wameomba TRA wafunge biashra zao kwa sababu ya mdororo wa utalii wa kupanda mlima kilimanjaro
 
Kuna watu wana ufahamu mkubwa wa uelewa kamanda, sio kila mtu wa kumchota akili kwa vi- clip. Jibu swali hili bila ushabiki wa Msigwa, Katika kipindi hiki cha Corona ambacho mipaka imefungwa na Kuna 'lockdown' nchi mbalimbali ambazo zilikuwa zinachangia kwa kiwango kikubwa kuleta watalii na kukuza utalii, je Nini kifanyike kukuza utalii?

Mind you, baadhi ya wafanyabiashara wa hotel huko Kilimanjaro wameomba TRA wafunge biashra zao kwa sababu ya mdororo wa utalii wa kupanda mlima kilimanjaro
Kama hukumuelewa Msigwa basi uwezo wako ni mdogo mno !
 
Nimemsikiliza kwa makini ila nilichosikia ni malalamiko yasiyo na msingi bila kutoa mapendekezo ya Nini Cha kufanya. Tuwe tunasema ukweli ulio dhahiri na si kubeza. Sijakataa kwamba sekta ya utalii imeajiri watu wengi lakini sekta ya utalii inategemea na watalii, katika kipindi hiki Cha Corona nchi zimefunga mipaka watalii hawaji. Je, Nini kifanyike? Nisaidie kujibu Hilo tafadhali.

Nina uhakika hutoweza kunijibu mpaka umsikie Msigwa na Msigwa hatoweza kujibu. Suluhisho pekee ni nchi kujitegemea kwa maana ya ujenzi wa viwanda ambayo ingesaidia uzalishaji wa ndani kuongeza mapato na ajira katika kipindi hiki ambazo Corona kwa namna moja au nyingine itakuwa imeathiri biashara za nje
Hilo la viwanda ni solution yako unayoiona wewe, narudia, umemsikiliza Msigwa vizuri? Usije ukawa ulikua na assumptions zako kichwani halafu unataka wote wafikirie kama wewe na wasipofikiria kama wewe uwalaumu, Msigwa ni waziri wa maliasili na utalii (kivuli ) kumbuka so ataizungumzia Zaidi "wizara" yake kuliko wizara ya viwanda
 
Mbunge Wa ccm ukitaka kukosana na chama kosoa serikali, mbunge Wa upinzani ukitaka kukosana Na chama chako Sifia serikali.Kaz kwelikweli
 
Ukiwa mpinzani sio kupinga kila kitu. Sekta ya utalii inategemea uwepo wa watalii ambao wanatoka sehemu mbalimbali duniani,katika kipindi hiki Cha Corona mipaka ya nchi imefungwa. Je, huo utalii utafanyikaje?

Katika hili CHADEMA watumie akili za ziada ambazo hazitaacha shaka watu kuhoji uwezo wao wa kiuongozi na si kusema tu ilimradi kusema. Tangu mwanzo Rais Magufuli alikuwa na nia njema ya kuifanya Tanzania yenye uchumi wa viwanda ambayo Msigwa na wenzake walikuwa wanabeza.

Kama wangeshirikiana kujenga viwanda vingi leo hii uzalishaji ungefanyika nchini na hivyo katika majanga Kama haya tungeona unafuu ila leo anasema Mara sekta ya utalii imefanya Nini, si atoe mapendezo Nini kifanyike katika kipinda hiki?

Hayo mawazo mbadala ya CHADEMA yako wapi? Je, CHADEMA wa kupinga na kubeza wanahitajika bungeni?
Hivi kwanini kila mnapokwama basi lawama kwa Wapinzani hasa Chadema?? Ni lini Chadema wamepeleka hoja Bungeni kupinga uanzishwaji wa Viwanda?? Mnapochemka kubalini na muwe wepesi wakuwataka radhi wananchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wabunge wengi hasa kutoka chama twawala ni vil.za wakubwa...ajabu eti ndio tunaowategemea waisimamie SIRIkali na kututungia sheria!!!..
kifupi, watawala walio wengi hapa tz ni wale walio wajinga/vil.za.
Bila KATIBA imara tz kupata maendeleo ni ndoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iingie mara ngapi? Iko humo muda mrefu sana, ishaua wanne sasa unataka iingie tena?
Mimi Naogopa tu COrona ikifika Bungeni na jinsi walivyokuwaa watu wazima na cisukari vya kutisha na BP sijui kama atapona hata mmoja, sema wale ambao wanatumia ARVs itakua nafuu kwao!

Hivi ikiingia Bungeni Leo wa kwanza kuvuta Atakua nani? Mungu epushia mbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bunge linaongozwa na CCM unataka wasiende bungeni? Ungesema chadema ndio wasiende kwa sababu wakiwepo wasipo kuwepo hawana athari ya kupitisha au kuzuia muswada! Na sera ya chadema ni kupinga kila kitu sio sawa na CCM mbona wapo wa bunge wa CCM wapinga hoja na miswada bungeni Sasa mbunge gani wa chadema afanye kinyume na kupinga Kama walivyo agizwa na DJ? Hajitaki mbona atatengwa na dictator DJ
 
Bunge linaongozwa na CCM unataka wasiende bungeni? Ungesema chadema ndio wasiende kwa sababu wakiwepo wasipo kuwepo hawana athari ya kupitisha au kuzuia muswada! Na sera ya chadema ni kupinga kila kitu sio sawa na CCM mbona wapo wa bunge wa CCM wapinga hoja na miswada bungeni Sasa mbunge gani wa chadema afanye kinyume na kupinga Kama walivyo agizwa na DJ? Hajitaki mbona atatengwa na dictator DJ
Hujui kitu
 
Ukifuatilia bunge la Tanzania utagundua kwamba wabunge wa ccm ni kama mabubu , jambo kubwa wanalofanya bungeni ni kugonga meza na kusherehesha kauli ya Ndioooo , kama wanavyotakiwa na chama chao ili kuunga mkono bajeti hata kama ina mapungufu kwa 95%

Hivi ni kweli kwamba wanatishwa na viongozi wao kwamba wasichangie hoja za msingi au ndivyo walivyo tu ? hii ni aibu kubwa sana !

hebu msikilize mbunge wa Chadema Mh Msigwa akijenga hoja kisomi na kizalendo , hapa lipo la kujifunza utake usitake .
Yaani Bunge la ukweli aliondoka nalo mama Anna Makinda. Ukiwatoa Wabunge wa Upinzani, hili Bunge la Ndugai ni la hovyo kupita maelezo na litaingia kwenye historia kama Bunge lililoutumikia Mhimili wa Serikali.

Hata Bunge la Spika Msekwa la Chama Kimoja la mwaka 1993 lililokuwa na kundi la G57 chini ya NJELU KASAKA lilikuwa na ubora kuliko hili.
 
Back
Top Bottom