Wabunge wote wanaogopewa na serikali ya Rais Samia na ndio mkaona kila mmoja ana uthubutu wa kuropoka na kusema analolitaka, kubwa ni kuwa wabunge hawa hawakupigiwa kura na wananchi, ila walifanyiwa utaratibu na wote wakashinda na wao wanajua yale maagizo yote waliyokabidhiwa na mbinu zilizotumika au hata kama waliambiwa watulie.
Na kwa hivyo wamekamata siri zilizowafanya leo waitwe wabunge wa CCM,leo Gwajima akifukuzwa ubunge atazuka kanisani aseme hawezi kuishi kwenye dhambi alifanya yote ili afukuzwe au aondolewe kwani uchaguzi hakushinda hivyo hawezi kuishi ndani ya combo kilichojaa uchafu na damu za watu ,na karibia wabunge wote wana jeuri wakifukuzwa ubunge wanamwaga mboga na ugali.
Na kwa hivyo wamekamata siri zilizowafanya leo waitwe wabunge wa CCM,leo Gwajima akifukuzwa ubunge atazuka kanisani aseme hawezi kuishi kwenye dhambi alifanya yote ili afukuzwe au aondolewe kwani uchaguzi hakushinda hivyo hawezi kuishi ndani ya combo kilichojaa uchafu na damu za watu ,na karibia wabunge wote wana jeuri wakifukuzwa ubunge wanamwaga mboga na ugali.