Wabunge wa CCM wana mkakati wa kuligeuza Bunge letu kuwa la mfumo wa chama kimoja?

Jamaa sijui ana Kisukari.Ana Hasira sana.Njia nyeupe kwa Dr.Tulia.
Tulia Pia Amejaa upepo mtupu,hawa madaktari wa Afrika ni upuuzi mtupu,no wonder wametuongezea umaskini kwa zaidi ya miaka 53 ya uhuru
 
Muda mwingine tuwe wakweli na kuweka vyama pembeni hivi kwanini kila siku bulaya mdee au yale matusi tunayosikia huwa wana edit
Acheni kujitoa akili wale wawakilishi wenu hawana adabu na hata maandiko yametataa itawa cost bungeni na kwa mungu pia atawaadhibu. Nukta
Ww angalia chanzo, haki haiombwi. Usawa ufanyike tu hayo hayatatokea, spika ameonesha mapungufu makubwa kwa hili. Pengine ni maelekezo , na hili hata kama ww ni ccm unaejimbua na sio taayira utaona upuuzi uliofanyika.
 
Huyo ndungai ni muathirika wa ma drugs aliyopata huko india
Kwa kweli inashangaza sana kwa mtu mwenye hadhi kubwa kama yake ya kuuongoza mhimili wa Bunge kuwa na upendeleo wa wazi wazi kwa wabunge wenzie wa CCM ambapo ni kinyume kabisa ya kanuni za uendeshaji wa mfumo la Bunge la vyama Vingi.

Kwa kweli watanzania walio wengi hivi sasa wanamkumbuka yule mama Ana Makinda na wanatamani arejee kuongoza mhimili huo wa Bunge.

Kwa kuwa hawa 2 waliopo akina Ndugai na Tulia wapo pale kwa 'mission' maalum ya kuwanyanyasa wabunge kutoka kambi ya upinzani na kuikingia kifua serikali.
 
It is true.....

Yaani kwa mtu mwenye kuongoza mhimili muhimu wa Bunge, kuamuru maaskari wa Bunge kumtoa Mbunge Mnyika kama kibaka kwa kile kinachodaiwa 'kosa' la kuomba mwongozo kwa Mbunge wa CCM aliyewasha mic na kumuita yeye mwizi, aidha afute kauli yake au athibitishe wizi wake yeye Mnyika
 
Hukuwepo nchini kipindi hicho alichompiga fimbo mccm mwenzenu? Au hukusikia kwa kuwa ulikuwa umepewa kazi kushilia madunguri au kugawa khanga kofia t-shirt na chumvi?
Ni dhahiri pengine huyo jamaa hakuwepo nchini kipindi kile cha kampeni ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Hivi yeye hajui kuwa huyo Ndugai alimchapa bakora mgombea mwenzie wa CCM kwenye kura za maoni za jimbo la Kongwa, hadi mgombea huyo akazirai na kukimbizwa hospitali na nusura huyo jamaa akate roho?
 
Ww angalia chanzo, haki haiombwi. Usawa ufanyike tu hayo hayatatokea, spika ameonesha mapungufu makubwa kwa hili. Pengine ni maelekezo , na hili hata kama ww ni ccm unaejimbua na sio taayira utaona upuuzi uliofanyika.
It is true....

Bunge letu ni la mfumo wa vyama vingi, kwa hiyo ni lazima anayekalia kiti cha Spika awe fair kwa wabunge wa pande zote, kwa upande wa wabunge wa chama tawala na wale wa upinzani.

Hali ambayo ni tofauti sana kwa Spika wetu Ndugai na Naibu wake Tulia, ambao wanaonyesha upendeleo wa wazi kwa wabunge wenzao wa CCM
 
MKUU WALIGEUZE MARA NGAPI???
Sasa ndiyo tuwafungue macho waTZ wajue kwamba hao wanaojiita kuwa ndiyo walioafiki mfumo wa vyama vingi uanzishwe nchini, ni kwa nini hivi sasa wanafanya kila aina ya mkakati ili nchi yetu irejee kwenye mfumo wa chama kimoja?
 
Back
Top Bottom