Kuungwa mkono wa wabunge wa upinzania kutokana na kutetea wananchi na kufichua uvujaji wa mali ya umma, kumewafanya baadhi ya wabunge wa CCM waunge mkono hoja kwa kusaidia kufichua viongozi wao wa juu wanaotumia madaraka vibaya na kuvuja mali ya umma.Hata hivyo baadhi ya wabunge wa CCM wanajulikana kuwa katika makundi katika chama.Mfano wanamtandao,CCM asilia na CCM masilahi.Je kuzinduka huku kwa wabunge wa CCM ni janja ya kuwasafishia njia viongozi wa makundi yao?