Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Naibu spika ametoa kauli kuwa kesho serikali itatoa tamko vinginevyo litajadiliwa bungeni
ni wakati wa wauguzi kuunga mkono mgomo
Na wewe funguka na uelewe!, kwenye hizo kanuni za kuduma wapi kanuni inasema lazima mwongozo/hoja iungwe mkono na wabunge?.......
Hizi ni hoja za kujitafutia umaarufu tu. Watu tumeisha anza kumfahamu Mnyika ni mtu wa show off zaidi kuliko utekelezaji
Walio toa hoja ni mbuge wa ccm na chadema, kwa nini kina mdee na wengine hawakuunga mkono hoja? Kwani lazima iungwe na ccm tu ndio ijadiliwe?
Macinkus
Walio toa hoja ni mbuge wa ccm na chadema, kwa nini kina mdee na wengine hawakuunga mkono hoja? Kwani lazima iungwe na ccm tu ndio ijadiliwe?
Macinkus
Pinda kisha towa tamko, au hamjamsikia? waliokuwa hawajarudi kazini hawapo kazini. Na wanaotaka kuunga mkono na wao waunge wawe jobless. Serikali msiwachie msimamo wenu kwa hili, wafundisheni hawa madaktari uchwara ni nini nidhamu.
Nimeona tukio hili nimeudhunika sana.La kuomba usipate mgonjwa au kuuguliwa sasa.