Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Jamani Mhe SHIBUDA kasaini na mie ndo nimempa fomu
Wewe ni nani?
Kumpa ni jambo moja,na ku-sign ni jambo jingine.
Kama ali sign na kukurudishia sawa.
Jamani Mhe SHIBUDA kasaini na mie ndo nimempa fomu
Kuna swala moja la msingi tujiulize wana JF.
Huu msimamo wa saini 70 wa zitto ni msimamo wa CDM pia?
Kama ni msimamo wa chama kwanini haukutolewa na Mwenyekiti wake ambae ni kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani.
Inawezekana kuna mambo hatujui huku nje.
OTIS
Very low mkuu hivi hujui Zitto ametoa hoja ya saini 70 kama nani? kama unamchukia Zitto pole sana yeye ndio Mwenyekiti wa kamati ya hesabu za mashirika ya umma na ndie aliekuwa responsible na ku wind up mjadala wa kamati yake na ingekuwa vigumu kwa Mbowe kufanya hivyo kwani hata Zitto asingekuwepo hitimisho lingefanywa na makamu mwenyekiti wa kamati.
Pole mwanailluminati
Nadhani hiyo idadi ni ya mpaka sasa (as it stands). Sidhani kama wabunge wote wa Chadema wako Dodoma. Wengine wako Dar au mikoani. Mpaka Jumatatu watakuwa wameshasaini.Ninachojiuliza hapa kwa nini saini ziwe 30 wakati wabunge wa CDM tu wanapita hiyo idadi.
OTIS
Mkuu lilikuwa ni wazo tu kwamba pale kwenye jambo linalohusu chama ni vyema akasema mwenyekiti
Kwa taarifa yako mie ni fan mkubwa sana wa Zitto.
Hapa nilikuwa natoa mapendekezo ya namna ya kuboresha zoezi hili kwani japokuwa mie ni CCM ila hili la mawaziri na viongozi wengine kutokuwajibishwa linanikera na lazima tuweke tofauti zetu za kichama lifanikiwe.
Nashukuru kwa taarifa kwani sikuwa najua zittoa alisimama kwa nafasi ya mwenyekiti ya kamati,haina haja ya kumrekebisha mtu kwa kumtusi.
OTIS
Kwa mujibu wa Zitto kabwe hadi sasa saini 30 zimepatikana kutoka CDM,CUF na NCCR.
Wabunge wa CCM waliodhamiria wameitwa na Mnadhimu wa serikali bwana Lukuvi
Source: Zitto on twitter
Mkuu lilikuwa ni wazo tu kwamba pale kwenye jambo linalohusu chama ni vyema akasema mwenyekiti
Kwa taarifa yako mie ni fan mkubwa sana wa Zitto.
Hapa nilikuwa natoa mapendekezo ya namna ya kuboresha zoezi hili kwani japokuwa mie ni CCM ila hili la mawaziri na viongozi wengine kutokuwajibishwa linanikera na lazima tuweke tofauti zetu za kichama lifanikiwe.
Nashukuru kwa taarifa kwani sikuwa najua zittoa alisimama kwa nafasi ya mwenyekiti ya kamati,haina haja ya kumrekebisha mtu kwa kumtusi.
OTIS
Kwa mujibu wa Zitto kabwe hadi sasa saini 30 zimepatikana kutoka CDM,CUF na NCCR.
Wabunge wa CCM waliodhamiria wameitwa na Mnadhimu wa serikali bwana Lukuvi
Source: Zitto on twitter
Hapo juu zitto amesema sipo 30
Tamko zito kama hili nadhani lilitakiwa litolewe na mwenyekiti
Ni mtazamo tu
OTIS
Sijakutusi nimekueleza taratibu zinavyotakiwa kuwa na ukitaka ukweli hoja sio ya Zitto peke yake na ndio maana alisema wabunge wenye uchungu na nchi hii. Ungetaka iwe hoja ya CDM basi ungetegemea saini 49 lakini hoja iliyombele ni hoja ya kitaifa zaidi.
Nadhani utakuwa umeelewa maana nimetumia kiswahili chepesi sana.
Wewe ni nani?
Kumpa ni jambo moja,na ku-sign ni jambo jingine.
Kama ali sign na kukurudishia sawa.