Maishamapya
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,279
- 375
Yaani UDP (Bw. Mapesa) na TLP (Mzee wa Kiraracha) hawajamwaga wino pamoja na mbwembwe zao za jana? Au walikuwa wanajikomba?
48 + Nassari + Pareso - Lema = 49Wana wabunge 48
Jamani Mhe SHIBUDA kasaini na mie ndo nimempa fomuNdio Shibuda hajasaini
Walioko dodoma ni wangapi.
Kwanini wasingeitwa wote warudi kwenye jambo hili ili zibaki saini 22 pekee.
OTIS
Tundu kesi yake imehairishwa hadi tar 24 au 27 (sina hakika ni ipi kati ya hizo 2) kwa ajili ya hukumu.
Huo ugonjwa wa shibuda unatia shaka
OTIS
Kwa mujibu wa Zitto kabwe hadi sasa saini 30 zimepatikana kutoka CDM,CUF na NCCR.
Wabunge wa CCM waliodhamiria wameitwa na Mnadhimu wa serikali bwana Lukuvi
Source: Zitto on twitter
Very Good Lukuvu anafanay Kazi
:A S 41::A S 41:
Zitto atakuwa ametokwa na mimacho :glasses-nerdy:
Mfano: Tundu na Mnyika wana kesi mahakamani.....Shibuda anaumwa shingo
48 + Nassari + Pareso - Lema = 49
ndipo hapo suala hili litaonekana ni la chadema peke yao na ccm watajitoa. Ni heri kusaka saini za wanaccm na kulifanya suala hili ni la bunge kuliko chama fulani.
Kuwa na kesi mahakamani kunawazuia nini wao kufanya shughuli za kibunge kama wapo Dodoma?
Wabunge wenye kesi mahakamani kwa upande wa CHADEMA kwa sasa wote wanasubiri hukumu zao.
Kama kuna mbunge ambaye ni mgonjwa anaweza kupelekewa huko aliko na akasaini.
Bwana Mkosamali wa NCCR ndiye Mbunge pekee wa Upinzani ambaye leo anasomewa hukumu ya kesi ya kupinga matokeo yake.
Wana wabunge 48
hukumu ya tundu lissu ni tarehe 27 saa tatu kamili....