Wabunge wa CCM ndio waliopitisha mikataba mibovu

Jadi

JF-Expert Member
Aug 2, 2011
1,494
860
Wabunge wa CCM ni wanafiki na ndio waliotufikisha hapa tulipo, hatutegemei Spika huyu aruhusu wapinzani kuhoji na kujadili zaidi ya kuleta upuuzi uleule, Tundu Lissu ni mwiba na tabia yao ya kupitisha mambo kwa ushabiki ndo inatughalimu. Hii mikataba yote ya madini ni matokeo ya upuuzi wao wasituzingue hapa
 
Alafu nchi hii ilivyokuwa na vituko hyo hyo mmoja wa watuhumiwa analiendesha bunge

OvA
 
Back
Top Bottom