Wabunge wa CCM ni wanafiki na ndio waliotufikisha hapa tulipo, hatutegemei Spika huyu aruhusu wapinzani kuhoji na kujadili zaidi ya kuleta upuuzi uleule, Tundu Lissu ni mwiba na tabia yao ya kupitisha mambo kwa ushabiki ndo inatughalimu. Hii mikataba yote ya madini ni matokeo ya upuuzi wao wasituzingue hapa