Ina maana ninyi hamkuona uozo uliokuwa ukifanywa? si ninyi ndio mlokuwa mkipiga makofi na kusema ndiooooo hata kwa mambo ya hovyo?
ni kwa nini mnamtegemea raisi aseme kila kitu? mnaonaje kamaikatokea siku raisi akachukua jambo jema kutoka kwenu na kulifanyia kazi? hamuoni mtakuwa mmemsaidia Raisi?
yani mmekuwa kama watoto!bila mh Raisi kuibua jambo na kulisimamia ccm kila kona hamsikiki.
naamini kabisa mh raisi akiangalia bunge anachefukwa maana mnachoongea hata katika mambo ya msingi ni ngonjera. hamuoneshi kuwa serious hata kidogo.
nyie ndo mliwatukana wapinzani, mkawatoa nje na kuwafungia, mkapitisha sheria mbovu kwa hadhi ya dharura. najiuliza hivi hamkujua kwamba mikataba ilikuwa mibovu? hamkuisoma?
leo Raisi akiwaona eti mnaenda kumpongeza kwa matatizo mliyosababisha ninyi si atatapika?
ni kwa nini mnamtegemea raisi aseme kila kitu? mnaonaje kamaikatokea siku raisi akachukua jambo jema kutoka kwenu na kulifanyia kazi? hamuoni mtakuwa mmemsaidia Raisi?
yani mmekuwa kama watoto!bila mh Raisi kuibua jambo na kulisimamia ccm kila kona hamsikiki.
naamini kabisa mh raisi akiangalia bunge anachefukwa maana mnachoongea hata katika mambo ya msingi ni ngonjera. hamuoneshi kuwa serious hata kidogo.
nyie ndo mliwatukana wapinzani, mkawatoa nje na kuwafungia, mkapitisha sheria mbovu kwa hadhi ya dharura. najiuliza hivi hamkujua kwamba mikataba ilikuwa mibovu? hamkuisoma?
leo Raisi akiwaona eti mnaenda kumpongeza kwa matatizo mliyosababisha ninyi si atatapika?