Rasib
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 395
- 45
Jamani wabunge, kama kiingereza ni kigumu hata lugha yetu ya kiswahili imekuwa ngumu, hivi Mbunge anapounga mkono hoja alafu anaanza kuelezea udhaifu wa hoja yenyewe, hivi nyie kama great thinker mnadhani ni sawa kweli?... Mimi kwa upeo wangu mdogo wa kuelewa napounga mkono hoja au jambo fulani nasema "nimeunga mkono hoja nukta" sitii hata neno..hebu ti-ri-ri-ke-ni.