MH, hivi wabunge wa CCM, wanaogopa nini kwa kupokea baadhi ya marekebisho ya vipengere vya katiba.
Waliipitisha wakiwa zaidi ya 200 na zaidi ya masaa 6 hadi 12 yalitumika. Waliaswa madudu yaliyomo, Kikwete
amegusia kidogo na kuyaona hayaepukiki kurekebishwa,na siyo yote, leo hii wanataka kuikimbia kisa ushauri ulitolewa
na CHADEMA. Wameichomoa bungeni leo na kutoa sababu za kitoto ili wakajipange. Haya yote wanayafanya kwa
ajli ya nani-WAKAE MADARAKANI AU NCHI YETU?. Ilikuwa isomwe leo bungeni, wameparaganyika, ikabidi iondolewe kimizengwe.
Waliipitisha wakiwa zaidi ya 200 na zaidi ya masaa 6 hadi 12 yalitumika. Waliaswa madudu yaliyomo, Kikwete
amegusia kidogo na kuyaona hayaepukiki kurekebishwa,na siyo yote, leo hii wanataka kuikimbia kisa ushauri ulitolewa
na CHADEMA. Wameichomoa bungeni leo na kutoa sababu za kitoto ili wakajipange. Haya yote wanayafanya kwa
ajli ya nani-WAKAE MADARAKANI AU NCHI YETU?. Ilikuwa isomwe leo bungeni, wameparaganyika, ikabidi iondolewe kimizengwe.