Ni mkapaKikwete alaaniwe Kwa kutuletea hili balaa
Ni mkapaKikwete alaaniwe Kwa kutuletea hili balaa
We unadhani swala la maamuzi ya fomu yangekuwa yake peke yake ungeona uongozi wote wa zamani na leo kwenye jukwaa moja wakicheka mpaka kukenua meno yote yaliyobaki.Sipendi wala situkani. Kuna wakati niliandika na sasa narudia. Wale wenye kithembe si kizembe kilaza wanathema kilatha! Yawezekana babu alikuwa na kithembe. Wewe ni kilaza kwelikweli.
Corona haitosababisha kuahirisha uchaguzi. Nani anataka kuendelea kukaa katika nafasi hizi. Kazi ya urais ni ngumu sana. Mungu, why me?
Fomu ya kuongoza vyombo vya dola ni moja. Aliyetaka ya pili kafukuzwa chamani. Kuna mambo ya kukamilisha yeye tu. Hakuna mwingine anayeweza. Muhula wa pili mambo ya kukamilisha yatakuwa mengi na magumu zaidi!
Mmh kweli hiiChama ni cha mtu mmoja. Wooooote hao ni spika tu, radio inatangaza kutoka Chattle
sio wizi wa kura ni kishindo cha kukubalika kwa kada zote.Kishindo cha wizi wa kura
yaa, it might beTetesi
Members, wasibezwe hili kundi la CCM mpya na waongeaji watapita kwa kishindo kikuu kwa lengo maalum bungeni kubadili katiba na Kuongeza muda wa Rais kutawala
Kauli ya Rais mstaafu Mwinyi sio mara moja au kwa bahati mbaya anapenyeza kauli ya kubadili Katiba kuhusu ukomo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Watu wafuatao ndio watakaoendesha bunge na kuwa waongeaji wakuu bungeni. Hakuna atakaye nyanyua mdomo wake kuwapinga watu wafuatao bungeni:
Paul Makonda
Cyprian Musiba
Alexander Mnyeti
Mchungaji Gwajima
Tulia Ackson
Waliotajwa wataingia bungeni kimkakati na siyo kwa bahati mbaya. Hoja zao ndio zitakuwa za mwisho kwa maamuzi ya Taifa.
Paul Makonda, Alexander Mnyeti, Mchungaji Gwajima na Cyprian Musiba msiwachukulie kirahisi na kuwadharau, Hao watu ni wajenga hoja wazuri tena za kulazimisha utake usitake lazima uwaunge mkono ili ubaki salama kwenye CCM mpya.
Hakuna cha mpasuko wala ufa CCM. Sauti ni moja tu yenye nguvu na kuheshimiwa. Hakuna mwenye uwezo wa kumpinga Mwenyekiti wa chama wala kunyanyua mdomo kuhoji maamuzi ya Mwenyekiti.
Mwenyekiti amepitishwa kwa asilimia 100%. Hii inampa nguvu ya kuaminiwa na yeyote atakaye ongea kuhusu kura za maoni kwa upande hasi hasa za ubunge basi atafute Maisha mengine nje ya bunge na CCM mpya.
CCM ni moja na yenye nguvu zaidi, Wapinzani tafuteni mbinu mpya, CCM imempa mamlaka ya asilimia 100% Mwenyekiti kwa kupiga kura za ndio Dodoma, Sauti yake ni sauti kuu. Hakuna mwanachama atakaye tenda nje ya Maamuzi ya Chama
Wapinzani msisubiri eti CCM kutakuwa na mpasuko ili mpate hoja za ubunge, Bunge linakwenda kuwa la kimkakati kupitisha hoja maalum ya ukomo wa Rais madarakani.
Na hapo ndipo akili za kitanganyika zitajulikana zilivyoInaweza kuwa hivyo au isiwe. Inawezekana kina Makonda na Gwajima wanataka uwaziri, mpaka uwaziri Mkuu
Paul Makonda huwa anaamini siku moja atakuwa Rais wa nchi hii.
Cha msingi mi naona wananchi tuamke tupeleke wabunge wa upinzani wakutosha bungeni, vinginevyo tutakuja kujuta huko mbele. Mungu epusha haya yasitokee
[/QUOTE Wapinzani wapi, hao 2015 tuliowapa kura wakaunga juhudi, bora kuchagua ccm tu.
Itashinda kwa mabavu! Hivi nyie waganga wa kienyeji mna msaada gani sasa kwa taifa? Hivi haiwezekani kuwapoteza wote hao?Kwani CCM itashinda uchaguzi?
Watetezi wa Bashite mbona mmekuwa wengi hivi!? Mmekula shng ngapingapi!??Umeona mbali sana Mkuu
Haya mambo magumu sana,Kama kuna ukweli vileHatuwezi kuruhusu watu wachache wachezee katiba yetu!! Haiwezekani.
Kwamba wagombea/wabunge pungufu ya 10 watakuwa na nguvu ya kura dhidi ya wabunge zaidi ya 100 ya kubadili katiba?Umeona mbali sana Mkuu
Ata akifanya hivyo hamna cha kufanya maana anayo kinga kubwa na sasa wameongezeka spika,Jaji mkuu na Waziri Mkuu. Pole yenu.Magufuli hataongeza hata dakika moja. Akithubutu lazima watanzania tukatae.
Ok sasa unamshauri asubiri x mass ngapi mjiniMakonda hawezi kushinda Kigamboni...hana hata X-mass kumi mjini nani anamjua