BAK mtu kama huyu hajui siasa za nchi hii. Nakuapia 2025 JPM anaondoka na wala hana hata chembe ya kusalia madarakani. Uliona gesture yake pale mpaka akamkosea Kwa bahati mbaya Mzee Ruksa. Ni aibu mtu kudhani ataongeza hata sekunde. Kumbuka sasa tutakuwa katika kivumbi cha kutafuta urais wa 2025. Achana na mawazo mgando ya kubadili katiba ili aongeze muda. This is TZ
Hakuna Uchaguzi Isipokuwa Ni Utaratibu Ambao Upo UnfairKwani CCM itashinda uchaguzi?
Hivi hujaona kuwa JPM amechoka kisaikolojoa wewe?😂😂😂😂 mnachuuzwa sana nyie eti kamkosoa Mwinyi hahahahaha
Hivi hujaona kuwa JPM amechoka kisaikolojoa wewe?
Inamaana Ndugai hatakuwepo Mjengoni kutetea Kiti chake??
Sasa ndipo napata picha halisi kwanini Membe amekataa kusubiri hadi 2025. Ni wazi Jiwe hataachia madaraka.