GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Baada ya kutoka ukumbini wakati Mh. Rais wa JMT - DR. JAKAYA , M. KIKWETE akianza kuhutubia. Wabunge wa CCM sasa wanajipanga kutoa AZIMIO LA BUNGE kwa wale wabunge wote hawamtambui Rais watoke Bungeni hadi pale watakapo mtambua, kwani wameenda kinyume na kiapo chao cha Ubunge cha kutii na kuilinda Katiba ya JMT.
Na kwa vile wabunge wa CCM ni wengi , hili linaweza kufanyika na Azimio likapata uungwaji mkono wa 2/3 ya wabunge, ambapo CHADEMA hawatapata fursa tena ya kutoa michango yao bungeni.
Na kwa vile wabunge wa CCM ni wengi , hili linaweza kufanyika na Azimio likapata uungwaji mkono wa 2/3 ya wabunge, ambapo CHADEMA hawatapata fursa tena ya kutoa michango yao bungeni.