koyola JF-Expert Member May 20, 2015 2,645 1,747 Jun 14, 2021 #1 Wawakilishi wa wananchi na washauri kwa serikali pia kusimamia serikali, vipi kuhusu huo wizi mbona mpo kimya?
Wawakilishi wa wananchi na washauri kwa serikali pia kusimamia serikali, vipi kuhusu huo wizi mbona mpo kimya?
Faana JF-Expert Member Dec 12, 2011 31,815 33,194 Jun 14, 2021 #2 koyola said: Wawakilishi wa wananchi na washauri kwa serikali pia kusimamia serikali, vipi kuhusu huo wizi mbona mpo kimya? Click to expand... Genge lao, watakuambia kesi ikiwa mahakamani hawaingilii mhimili mwingine
koyola said: Wawakilishi wa wananchi na washauri kwa serikali pia kusimamia serikali, vipi kuhusu huo wizi mbona mpo kimya? Click to expand... Genge lao, watakuambia kesi ikiwa mahakamani hawaingilii mhimili mwingine
Mlaleo JF-Expert Member Oct 11, 2011 13,380 9,749 Jun 15, 2021 #3 Something fishy is goin on... and sababu Mafuta yaliyokuwa yanaibiwa ni baada ya kodi so waliokuwa wanaibiwa ni Wanunuzi
Something fishy is goin on... and sababu Mafuta yaliyokuwa yanaibiwa ni baada ya kodi so waliokuwa wanaibiwa ni Wanunuzi
F FUSO JF-Expert Member Nov 19, 2010 31,631 37,832 Jun 15, 2021 #4 kiko wapi waliokuwa wanasema ati awamu ya tano haiibiwi? watu wamenyonya mafuta tangu 2016 hadi wa leo ndiyo watu wanashtuka - teh teh teh
kiko wapi waliokuwa wanasema ati awamu ya tano haiibiwi? watu wamenyonya mafuta tangu 2016 hadi wa leo ndiyo watu wanashtuka - teh teh teh