WABUNGE: Vikao vya Kuwekana sawa kwa faida ya nani?

Pius Kafefa

Member
Aug 9, 2011
88
20
Nasikitishwa sana na utaratibu wa wabunge wetu kukutana na kuwekana sawa ili kuwa na msimamo mmoja wa kulinda maslahi ya CHAMA. Binafsi sifuarahii utaratibu huu kwani umekuwa ukitumika kulinda maslahi ya kundi fulani. Japo "Lobbying" ni mkakati unaotumika kupitisha hoja kwenye mabunge yetu, nadhani umefika wakati wa kujadili hili hasa kipindi kama hiki ambapo kuna hoja/miswada inayoweza kukwama kwa sababu tu haijazingatia maslahi ya umma.

"Ni wakati muafaka sasa kupima demokrasia yetu kwa misimamo ya wabunge isiyotokana na nia yao mbaya ya kulinda maslahi ya CHAMA".

 
Nasikitishwa sana na utaratibu wa wabunge wetu kukutana na kuwekana sawa ili kuwa na msimamo mmoja wa kulinda maslahi ya CHAMA. Binafsi sifuarahii utaratibu huu kwani umekuwa ukitumika kulinda maslahi ya kundi fulani. Japo "Lobbying" ni mkakati unaotumika kupitisha hoja kwenye mabunge yetu, nadhani umefika wakati wa kujadili hili hasa kipindi kama hiki ambapo kuna hoja/miswada inayoweza kukwama kwa sababu tu haijazingatia maslahi ya umma.

"Ni wakati muafaka sasa kupima demokrasia yetu kwa misimamo ya wabunge isiyotokana na nia yao mbaya ya kulinda maslahi ya CHAMA".


Katika nchi zenye mfumo wa siasa za mfumo wa vyama vingi ni jambo la kawaida, si shangai na si jambo la ajabu kufanya hivyo kwa kuwa kila kundi lina itikadi zake kisiasa.
 
Back
Top Bottom