bopwe
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 1,768
- 1,445
Tatizo lenu mlopoambiwa mkatoe maoni ya katiba watu wana fanya fujo na kutukana viongozi mfano tundu always akilaumu lakini alishindwa kusema mchango wake nini kifanyike au kipi kibaya kiondolewe
Leo rasimu imekamilika lakini mchango wa wasomi na kama wewe kwenye maoni hauridhishi
So hayo yalitakiwa uyatoe kwa warioba
Hii rasimu nadhani iyakuwa na mapungufu
Mfano kuna kuondosha wakuu wa mikoa
Na shughuli hizi zikachukuliwa na mayor wa kuchaguliwa na wananchi
Wakuu wa wilaya nao wakawa manainu mayor wakuchakuliwa
Mkurugenzi wa jiji nao nafasi ziyangazwe na muhimu ni qualification sio kisiasa
Kuna mambo mengi yalisemwa ila hayakupata bataka za wanasiasa hasa wa upinzani isipokua znz wao walipigania sana wana chotaka ila huku hamna kitu
Leo rasimu imekamilika lakini mchango wa wasomi na kama wewe kwenye maoni hauridhishi
So hayo yalitakiwa uyatoe kwa warioba
Hii rasimu nadhani iyakuwa na mapungufu
Mfano kuna kuondosha wakuu wa mikoa
Na shughuli hizi zikachukuliwa na mayor wa kuchaguliwa na wananchi
Wakuu wa wilaya nao wakawa manainu mayor wakuchakuliwa
Mkurugenzi wa jiji nao nafasi ziyangazwe na muhimu ni qualification sio kisiasa
Kuna mambo mengi yalisemwa ila hayakupata bataka za wanasiasa hasa wa upinzani isipokua znz wao walipigania sana wana chotaka ila huku hamna kitu