Hatimae wakati umewadia ule wa kuona neno hili likitimia. Yetu ni macho na masikio huko Dodoma!!!! Nasikia na 'makinda' yameongezeka hadi 10,000,000/= hata kabla ya bajeti ya mwaka mpya 2012/2013 kupita. kaaaaaaaazi kweli kweli!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.