Wabunge tafadhali Kodi ya majengo itazamwe upya

Stream line

JF-Expert Member
Apr 22, 2015
393
239
sh. 10,000/- kwa nyumba zisizothaminiwa hii ni sawa. Lakini Sh.50,000/- kwa ghorofa moja hii siikubali hata kidogo. Sababu: Nyumba moja pale kitongojini sh. 10,000/- Ghorofa ninayoishi ina orofa 10. zenye jumla ya kaya 66. yaani nyumba 66. uwiano u wapo?. USHAURI WANGU. kila nyumba ndani ya ghorofa ilipe sawa na nyumba za madongoni huku vitongojini. Ikumbukwe kodi za wenye nyumba hizi wanazozitoza ni ktkt Dola ya kimarekani. Mh. Mpango fungua macho zaidi ktk hili.
 
katika gazeti la Daily News habari inazomeka hivi, property Tax; 10,000/- flat rate for non-valued houses; and 50,000/- per floor of a storey house. Binafsi napinga rate hii. Bali napendekeza kila nyumba ilipe sh. 10,000/- humo humo ghorofani. yaani apatiment kwa apatiment. kwani apatiment hizi ni nyuma zilizokamilika tofauti na nyumba za kawaida ni kuwa nyumba hizi ziko juu ya zingine. Pili kuna watu wengi wamejenga kigorofa kimoja. je nao walipe 50,000/- ili hali alikopa na kujenga ka-nyumba kake kwa familia yake tu? Hapa wizara ifafanue vizuri sana. Ghorofa na makaazi ktk gorofa hizi.
 
katika gazeti la Daily News habari inazomeka hivi, property Tax; 10,000/- flat rate for non-valued houses; and 50,000/- per floor of a storey house. Binafsi napinga rate hii. Bali napendekeza kila nyumba ilipe sh. 10,000/- humo humo ghorofani. yaani apatiment kwa apatiment. kwani apatiment hizi ni nyuma zilizokamilika tofauti na nyumba za kawaida ni kuwa nyumba hizi ziko juu ya zingine. Pili kuna watu wengi wamejenga kigorofa kimoja. je nao walipe 50,000/- ili hali alikopa na kujenga ka-nyumba kake kwa familia yake tu? Hapa wizara ifafanue vizuri sana. Ghorofa na makaazi ktk gorofa hizi.
Hyo pesa inalipwa baada ya mda gani??
 
Back
Top Bottom