asante bwana yesu!#HABARI Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro imewaachia kwa dhamana wabunge wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Susan Kiwanga, na Peter Lijualikali baada ya mahakama kutupilia mbali maombi ya Jamhuri.
Uonevu tu kwa upinzani#HABARI Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro imewaachia kwa dhamana wabunge wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Susan Kiwanga, na Peter Lijualikali baada ya mahakama kutupilia mbali maombi ya Jamhuri.
Mungu ibariki Chadema#HABARI Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro imewaachia kwa dhamana wabunge wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Susan Kiwanga, na Peter Lijualikali baada ya mahakama kutupilia mbali maombi ya Jamhuri.
Uonevu tu kwa upinzani
Very painful but God knows
Kiwanga si ndio huyu hesabu ndogo ya 11075 inamchanganya au?Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro imewaachia kwa dhamana wabunge wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Susan Kiwanga, na Peter Lijualikali baada ya mahakama kutupilia mbali maombi ya Jamhuri.
View attachment 1040073View attachment 1040074
Lijualikali ni kati ya wabunge wa Chadema wanaopata misukosuko sana.Very painful but God knows
Yana mwisho
Polisi wa Tanzania wanatia aibu sana !
KUBWA JINGA SANA WEWE? AKILI YAKO MAVI KABISA !!Huyo yesu ni hakimu au wakili wao?
justice delayed = justice deniedHaki Imetendeka
Mahakama Ya Tanzania
Haya maonevu ya awamu ya Jiwe kuna siku yataisha tu.Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro imewaachia kwa dhamana wabunge wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Susan Kiwanga, na Peter Lijualikali na wenzao 7 baada ya mahakama kutupilia mbali maombi ya Jamhuri.
View attachment 1040073View attachment 1040074
Wataelewa somo tuMahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro imewaachia kwa dhamana wabunge wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Susan Kiwanga, na Peter Lijualikali na wenzao 7 baada ya mahakama kutupilia mbali maombi ya Jamhuri.
View attachment 1040073View attachment 1040074
Halafu eti watu wanaenda kusali J5 ya majivu ?!.Huyo yesu ni hakimu au wakili wao?
Heshimu imani za watu MkuuHuyo yesu ni hakimu au wakili wao?