Wabunge piteni hapa, muone yanayozungumzwa na wapiga kura kwenye majimboni yenu.

mandella

JF-Expert Member
Oct 29, 2011
3,048
3,227
Wabunge ni miongoni mwa watu wanaoutumia sana mtandao wa Jamii forum, hivyo nimeona kupitia thread hii ni raisi kwa Wabunge kusoma yale yanayoendelea na kusemwa juu yao.

Ukipita mitaani,sokoni , maofisini,kwenye dalala na hata kwnye vijiwe vya kahawa,utakuta wananchi wanatoa maoni mbalimbali juu ya Mbunge wa Jimbo husika.
Mtakubaliana na mm kwamba ni mara nyingi au mara zote yanayojadiliwa huwa hayawafikii wahusika.

Kama wananchi tutumie fursa hii kuwafikishia yale tunayoyazungumza juu yao kwnye Majimbo yetu..

Maongezi ya kwenye mikutano yetu ya vijiji,maongezi ya vijiwe , tathimini kutoka kwnye familia zetu na hata maoni binafsi, yoote tuwafikishie hapa.

Tuwape wabunge njia nyepesi ya kugundua ni nn kinaendelea Majimboni, mahitaji ya wananchi kwenye majimbo husika na pia lipi linalowakera wapiga kura kutoka kwako kama Mbunge.

Najua Wabunge wengi watapita na baadhi wenye kuthubutu watajibu.

TUWAAMBIE/TUWASEME ILI KUWASAIDIA KUA VIONGOZI BORA.

KARIBUNI.
 
Kwa sasa tunajua tulipeleka wanaojua kusoma na kauandika tu.

Lakini wengi waao ni zero tu, wanafundishwa na akina joka la makengeza kutumia sheria kudumaza.

Kwa mfano, mtoto wa marehemu selina anaingia kuwakilisha upuuzi gani bungeni?

Mwakyembe anakomaa kutetea ujinga gani bungeni...Rais hana nia ya kuua upinzani anajua ndio pekee utakaomsaidia, kugundua kero
 
Kwa sasa tunajua tulipeleka wanaojua kusoma na kauandika tu.

Lakini wengi waao ni zero tu, wanafundishwa na akina joka la makengeza kutumia sheria kudumaza
NDIO MAANA MAKOFI YAMEZIDI SANA MLE JENGONI,WENGINE HATA HAWAJAWAI KUONGEA LAKINI UKICHEKI MIKONO YAO IMEOTA HADI SUGU
 
NDIO MAANA MAKOFI YAMEZIDI SANA MLE JENGONI,WENGINE HATA HAWAJAWAI KUONGEA LAKINI UKICHEKI MIKONO YAO IMEOTA HADI SUGU
walikuwa sahihi kuondoa bunge live..na kama walipiga chapuo kulitoa bunge live tusione uvundo wao..elimu ya uraia na ufahamu wa uhuru na haki itapatikana kwa njia nyingine.

wengi wetu tunaona rais magufuli ana nia njema na nchi yetu, kuliko wapiga makofi..yule dogo wa ulanga angejua hana issue asingekuwa anapoteza muda wake kupiga domo bungeni, angepigania watu wake wa ulanga
 
walikuwa sahihi kuondoa bunge live..na kama walipiga chapuo kulitoa bunge live tusione uvundo wao..elimu ya uraia na ufahamu wa uhuru na haki itapatikana kwa njia nyingine.

wengi wetu tunaona rais magufuli ana nia njema na nchi yetu, kuliko wapiga makofi..yule dogo wa ulanga angejua hana issue asingekuwa anapoteza muda wake kupiga domo bungeni, angepigania watu wake wa ulanga
SI NDIO YULE ALISEMA SANAMU YA ASKARI ITOLEWE NA IWEKE YA DIAMOND?
 
Wananchi wanalalamika nini kama wao ndo zao la hii mizigo iliyoko bungeni? Walikuwa hawawajuhi?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom