Wabunge na mawaziri watoweka na bunge "live"

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,878
141,813
Bunge live liliwafanya wabunge na mawaziri wafahamike kirahisi na watanzania. Hivi sasa kuna wabunge hata hawajulikani kama wapo maana hata majimboni habari zao hazisikiki nao pia hawaonekani. Ni kama vile bunge live liliwasaidia baadhi ya wabunge kufanya maigizo na kujipigia promo.
 
Daah kweli aisee mi majuzi ndo nimeona sura ya naibu waziri wa maji, ingawa jina simjui.
 
Bunge live liliwafanya wabunge na mawaziri wafahamike kirahisi na watanzania. Hivi sasa kuna wabunge hata hawajulikani kama wapo maana hata majimboni habari zao hazisikiki nao pia hawaonekani. Ni kama vile bunge live liliwasaidia baadhi ya wabunge kufanya maigizo na kujipigia promo.
Mbunge wangu namjua hata lisilo kuwa bunge live tunae kamanda Godbless Jonathan Lema
 
Back
Top Bottom