Siku ya jana Spika Ndugai alimtoa nje Mbunge mmoja kwa kosa la kuvaa mavazi anayosema kuwa yapo kinyume na maadili ya Bunge , cha ajabu watanzania wengi wakashikilia hili jambo kama vile lina maslahi yoyote kwa taifa , ikifika mbele mpaka NGO moja ikaandika taarifa ya kulaumu kama vile watanzania wanaishi kwa kutegemea mavazi ya wabunge , social media na baadhi ya wanaharakati wameshikilia hilo jambo kama vile lina maana yoyote kwa maisha ya mtanzania wa leo.
Wengine wanasema ni haki za binadamu najiuliza yaani katika maisha ya mtanzania wa leo ndio wakumpelekea jambo juu ya mavazi ya mbunge ambaye halipi hata kodi katika mshahara wake wa ubunge , mbunge ambaye anapokea malupulupu kushinda hata mfanyakazi wa serikali anayefanyakazi miaka zaidi ya thelathini , yani leo mbunge mmoja aliyetamani matako ya mbunge mwenzake na kumsemea kwa spika wakati sio kazi yake yaani huu upumbavu wa wabunge leo hii ndio jambo la kutusumbua katika akili zetu , tunaacha kujadili mambo ya maana , tunajadili juu ya spika huyu huyu kigeugeu kumfukuza huyo , yani ndio tumechoka kiasi hichi.
Kwa maisha ya leo ya mtanzania mtu kama mbunge anafaida gani kwa mfano ambapo zaidi ya kutoa umbeya tu na kudemka kishambashamba , waandishi wa habari hacheni kujadili vitu visivyo na ajenda ya maana , tuwaulize nyie NGOs ina mana hakuna jambo la kujadili katika haki za binadamu mpaka kumpa kiki mbunge wa kupita tu anayeangalia maisha yake, aasiyelipa hata kodi huu ni ujinga.
Yaani watu wanakaa na kujadili mbunge aliyevaa suruali , yani kodi zetu tunazowalipa bila wao kulipa kodi alafu bado tunakaa kumjadili huyohuyo , ambaye hana faida yoyote katika maisha yetu.
Kweli tunafikia hapa.
Wengine wanasema ni haki za binadamu najiuliza yaani katika maisha ya mtanzania wa leo ndio wakumpelekea jambo juu ya mavazi ya mbunge ambaye halipi hata kodi katika mshahara wake wa ubunge , mbunge ambaye anapokea malupulupu kushinda hata mfanyakazi wa serikali anayefanyakazi miaka zaidi ya thelathini , yani leo mbunge mmoja aliyetamani matako ya mbunge mwenzake na kumsemea kwa spika wakati sio kazi yake yaani huu upumbavu wa wabunge leo hii ndio jambo la kutusumbua katika akili zetu , tunaacha kujadili mambo ya maana , tunajadili juu ya spika huyu huyu kigeugeu kumfukuza huyo , yani ndio tumechoka kiasi hichi.
Kwa maisha ya leo ya mtanzania mtu kama mbunge anafaida gani kwa mfano ambapo zaidi ya kutoa umbeya tu na kudemka kishambashamba , waandishi wa habari hacheni kujadili vitu visivyo na ajenda ya maana , tuwaulize nyie NGOs ina mana hakuna jambo la kujadili katika haki za binadamu mpaka kumpa kiki mbunge wa kupita tu anayeangalia maisha yake, aasiyelipa hata kodi huu ni ujinga.
Yaani watu wanakaa na kujadili mbunge aliyevaa suruali , yani kodi zetu tunazowalipa bila wao kulipa kodi alafu bado tunakaa kumjadili huyohuyo , ambaye hana faida yoyote katika maisha yetu.
Kweli tunafikia hapa.