mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Nimekuwa Nawashuhudia Wabunge na Madiwani kutoka Vyama vya Siasa hasa Upinzani kuhama na kwenda CCM wote wakitoa sababu moja,"Kuunga Mkono Juhudi".Nimekuwa najiuliza hivi ukitaka kumuunga mkono mtu au rafiki yako mpaka Uhamie nyumbani kwake?
Pili sina uhakika iwapo Mchakato mzima wa Kuunga Mkono Juhudi hao Wabunge na Madiwani wanawashirikisha Waliowapigia Kura inaonekana kuwa ni SIRI kubwa kati ya Wabunge/Madiwani hali ambayo huonyesha ni maslahi binafsi ndio maana wapiga kura wanaachwa solemba na kubaki wanashangaa Wabunge/Madiwani kuondoka bila kuwaaga.
Nawashauri Wapiga Kura na sisi Tusiwashirikishe katika Maamuzi yetu juu yao Wakati wa Uchaguzi Mkuu 2020 Tuwaache SOLEMBA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pili sina uhakika iwapo Mchakato mzima wa Kuunga Mkono Juhudi hao Wabunge na Madiwani wanawashirikisha Waliowapigia Kura inaonekana kuwa ni SIRI kubwa kati ya Wabunge/Madiwani hali ambayo huonyesha ni maslahi binafsi ndio maana wapiga kura wanaachwa solemba na kubaki wanashangaa Wabunge/Madiwani kuondoka bila kuwaaga.
Nawashauri Wapiga Kura na sisi Tusiwashirikishe katika Maamuzi yetu juu yao Wakati wa Uchaguzi Mkuu 2020 Tuwaache SOLEMBA.
Sent using Jamii Forums mobile app