rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
wakuu mimi sio mwanasiasa na kamwe sipendi kuwa mwanasiasa,
lakini kuna kitu kinanishangaza kuhusu wabunge wetu kuvaa kaunda suti na kuacha vifua wazi,jamani sioni kama ni jambo la busara kuvaa vile,hivi unajua nchi za wenzetu wakiona wanashangaa sana?
je ni halali kuvaa vile?je lile vazi linaitwaje?je kwa nini wasivae suti na tai kwa heshima?
lakini kuna kitu kinanishangaza kuhusu wabunge wetu kuvaa kaunda suti na kuacha vifua wazi,jamani sioni kama ni jambo la busara kuvaa vile,hivi unajua nchi za wenzetu wakiona wanashangaa sana?
je ni halali kuvaa vile?je lile vazi linaitwaje?je kwa nini wasivae suti na tai kwa heshima?