Wabunge, Mungu kawakumbusha ya marehemu Mwangosi

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,013
144,371
Leo hii wabunge wote mnalia kwa mchungu lakini mnasahau hata marehemu Mwangosi aliuwawa kikatili kwa mtindo huuhuu.Hili ni fundisho tosha kwa watawala.

Pia, hii ni damu ya Mwangosi inaitesa serikali ya Kikwete.
 
Back
Top Bottom