chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,685
- 22,694
Kuna ujinga unaendelea kwenye siasa za Tanzania, kuhama hama vyama kwa sababu ya maslahi binafsi huku kule wanapokimbilia hawana hakika napo kama watapewa nyadhifa, kwa kifupi wanacheza kamari maana wanapoteza walichokitumikia kwa muda mrefu huku hawana uhakika na wanachokitarajia huko wanakohamia!