the circus
Member
- Oct 24, 2011
- 71
- 59
Hawa wabunge wa Baraza la wawakilishi kila kukicha wako bize kutuonyesha wao hawataki mambo ya kuharibu mila na desturi zao za kizanzibari
haya imekuwaje wameamua kutangaza pombe?
Tazama hizi picha:
MICHUZI: sbl yatumia zadi ya mil 65 kuadhamini mechi ya wabunge na baraza la wawakilishi zanzibar.
WABUNGE WA ZANZIBAR WANAOPENDA KUTANGAZA POMBE...
WABUNGE WA BARA KWA KUONYESHA HAWANA MUDA WA KUTANGAZA POMBE WAO WALIVAA TRACK SUITS ZA BLUU
Tena kwa kuonyesha ushabiki wa kutangaza pombe wao wameamua kuvaa jezi zenye kutangaza wakti wenzao toka bara waliamua kuvaa traksuti zilizokuwa plain
Huu ndio unafiki wa BLW wa zanzibar. UAMSHO na akina PONDA PONDA wako wapi kuhusu haya mambo? mbona hawayapigii kelele?
hawa ndio wanasiasa wa Zanzibar.
haya imekuwaje wameamua kutangaza pombe?
Tazama hizi picha:
MICHUZI: sbl yatumia zadi ya mil 65 kuadhamini mechi ya wabunge na baraza la wawakilishi zanzibar.
WABUNGE WA ZANZIBAR WANAOPENDA KUTANGAZA POMBE...
WABUNGE WA BARA KWA KUONYESHA HAWANA MUDA WA KUTANGAZA POMBE WAO WALIVAA TRACK SUITS ZA BLUU
Tena kwa kuonyesha ushabiki wa kutangaza pombe wao wameamua kuvaa jezi zenye kutangaza wakti wenzao toka bara waliamua kuvaa traksuti zilizokuwa plain
Huu ndio unafiki wa BLW wa zanzibar. UAMSHO na akina PONDA PONDA wako wapi kuhusu haya mambo? mbona hawayapigii kelele?
hawa ndio wanasiasa wa Zanzibar.