Wabunge..MAFISADI wasichangie BAJETI

jmushi1

Platinum Member
Nov 2, 2007
24,989
22,521
Bunge ni wazi limegawanyika vibaya...Ndani ya CCM kuna wanaosapoti mafisadi wakamatwe..

Baada ya piga nikupige nyingi...Kukatokea kundi ambalo limeamua kuwa sasa kama serikali imeshindwa..Basi BUNGE ndio last option.

Wakaweka hilo wazi wakiongozwa na baadhi ya wabunge ndani na njke ya CCM ikiwa ni pamoja na Sitta mwenyewe.

Sasa hapo MAFISADI wakahisi mwisho wao waweza kuwa BUNGENI na ndipo hapo mambo ya woga wa mafisadi yalipoanza wazi wazi..

Sasa wakaamua walitishe BUNGE...Tunafuatilia kwa karibu kama ni kweli WALITISHIKA! Na kama hawakufanya hivyo..Basi tunaomba waonyeshe hilo.

Naona Taifa liko kwenye Stallmate flani hivi....Hivyo basi nawaomba wabunge wote...Kama kweli wao ni watu wa watu...Then wasiendelee na mjadala wa NCHI kabla ya hatma ya watuhumiwa kujulikana..Ili wasafi wabaki na wachafu waondolewe.Ahsanteni wabunge kama mnalisoma hili.

Jmushi
 
Kabla ya Bajeti kujadiliwa...Ni muhimu haya malalamiko ya wananchi yakafanyiwa kazi na bunge letu kwasababu serikali imeshindwa na wameshakiri hilo kama Mwema alivyowahi kusema hapo nyuma...Pale alipoulizwa kwanini watuhumiwa hawakamatwi.
Ni wazi hata Mh Rais ameona woga.
Hivyo basi WABUNGENI FANYENI MAMBO.
 
Kama kweli nchi imeuzwa...Basi hakuna umuhimu wa kujadili masuala ya Taifa na hao walioiuza..
CCM imegawanyika na ndio maana MAFISADI hawajakamtwa mpaka leo licha ya ushahidi kibao.
Na ndio maana hata huko bungeni migawanyiko yao imeendelea na issues hazikatwi tena kwani ndani ya CHAMA chenu kuna wanaotaka si tu wafukuzwe..Bali pia wawekwe ndani kwasababu ripoti zote zinaonyesha kuwa hao watu ni wauhumiwa.

Kwenye maswala yenu ya chama muwafukuze..Ya kitaifa ni WAKAMATWE MARA MOJA PERIOD.

NB: Bajeti hiyo isijadiliwe na mafisadi kwani kesi zao zitakufa kwa kujisafisha mbele za wananchi...Watuhumiwa wapo wanajulikana na ushahidi upo...Hivyo basi kama yakiwashinda wabunge kama ilivyokuwa kwa serikali..Then wapige kura ya kuikataa bajeti ili serikali yote ivunjike na kuwe na uamuzi huru na watuhumiwa kuwekwa ndani.
Kuendelea na vikao wakati uadui ni mkubwa ndani ya bunge dhidi ya wanachama wenye kutaka mafisadi wakamatwe vs wale wanaopinga si mzuri na hauna manufaa na watanzania.
 
Itasikitisha sana kama tukianza kusikia sauti za MAFISADI zikichangia BAJETI ya Taifa letu.
Kweli wengine tutapata matatizo ya moyo!
Hawa watu ni wasafi sana?
Toka lini crabs wakaacha kuvutana wenyewe chini pale wanapowekwa kwenye ndoo moja?

Ndoo ni BUNGE na chama chao TAWALA...Na crabs hao ni wabunge na wanachama hao wanaotaka kupanda na kutoka nje ya siasa za kwenye ndoo...Crabs hao miongoni mwao hawataki wenzao wapande juu ili kutoka nje ya ndoo hiyo waliyomo wote crabs wasafi na fisadis...Na hapo
kunakuwa na utelezi na kuvutana huku kila mmoja akitaka kwenda juu!

Wasijidai hawajui...KAMATENI NA KUWAHOJI MAFISADI NA MUACHE STORI NA HADITHI ZA ALINACHA!
 
Kwi kwi kwi kwi ....

Mushi naona watu wamekuachia forum mwenyewe hadi unachangia thread yako peke yako huku ukiuliza maswali na kujijibu mwenyewe. Kama hiki ndicho ulikuwa unatafuta basi umekipata kwi kwi kwi ... thread nzima Mushi peke yake kisha watu weeeeeeeeeeeee
 
Kwi kwi kwi kwi ....

Mushi naona watu wamekuachia forum mwenyewe hadi unachangia thread yako peke yako huku ukiuliza maswali na kujijibu mwenyewe. Kama hiki ndicho ulikuwa unatafuta basi umekipata kwi kwi kwi ... thread nzima Mushi peke yake kisha watu weeeeeeeeeeeee

Sawa tu Masaka...Kama na wasomaji nao ni mataahira..Then hiyo ni judgement yako.
Ila masaka nashindwa kuelewa unachosaka.
Siendi tena kuongeza maji kwenye ugali wa watu.
Nina mengi ya kusema na niko kwenye thread niliyoianzisha.Habari ni nyingi tu na unaruhusiwa kuchagua ya kwenda kuchangia...Kuna mambo ya zimbabwe,Vodacom,Chenge,na wengine kufoji vyeti..Nenda kachangie na uache kuandama watu.
 
Sawa tu Masaka...Kama na wasomaji nao ni mataahira..Then hiyo ni judgement yako.
Ila masaka nashindwa kuelewa unachosaka.
Siendi tena kuongeza maji kwenye ugali wa watu.
Nina mengi ya kusema na niko kwenye thread niliyoianzisha.Habari ni nyingi tu na unaruhusiwa kuchagua ya kwenda kuchangia...Kuna mambo ya zimbabwe,Vodacom,Chenge,na wengine kufoji vyeti..Nenda kachangie na uache kuandama watu.

Haya mkuu wangu, mimi nimekuja angalau nikupe support kwenye thread yako maana nimeona umekuwa mpweke na unaandika na kujijibu mwenyewe kisha unanifukuza. Hii ni forum mkuu na sio taarifa ya habari. Inapendeza pale watu wanapochangia, kuuliza maswali, kujibu maswali, kuleta data, wakati mwingine kuchekesha, kutetea hoja zao na kadhalika na sio kusoma tu.

Nilikuja kukupa kampani mwenzangu ila kama hutaki basi nakuachia thread yako mkuu maana naona unataka kubaki mwenyewe hapa JF.
 
Haya mkuu wangu, mimi nimekuja angalau nikupe support kwenye thread yako maana nimeona umekuwa mpweke na unaandika na kujijibu mwenyewe kisha unanifukuza. Hii ni forum mkuu na sio taarifa ya habari. Inapendeza pale watu wanapochangia, kuuliza maswali, kujibu maswali, kuleta data, wakati mwingine kuchekesha, kutetea hoja zao na kadhalika na sio kusoma tu.

Nilikuja kukupa kampani mwenzangu ila kama hutaki basi nakuachia thread yako mkuu maana naona unataka kubaki mwenyewe hapa JF.

Kauli yako haikuonyesha hivyo Masaka dont think i am fool.
Tafadhali uelewe kuwa kazi hii ni ya Mungu na uiheshimu!
Nimeshagundua kuwa kila mtu huzaliwa kwa mapenzi ya Mungu na tumekuja kufanya kazi yake na tukimaliza tunarudi kwake.
Ahsante kama ni kweli ulitaka kutoa mchango.
Kwa macho ya kawaida sikuona hivyo.Ila tusubiri tuone..Maana haina haja ya kuandikia mate.
Ninavyoona mimi unasubiria kitu kifanyike ili credibility ya kile nachokisema ife na ama nifungiwe.
Naomba uwe mkweli...This is a very critical moment in the ENTIRE HISTORY OF OUR NATION SINCE INDEPENDENCE.
 
kwi kwi kwi...
nimekupata sana Jmushi niliudhika sana walipo kufungia.Sasa naona upo Gado.
Ni kweli hawa jamaa wasichangie chochote bungeni.,
 
kwi kwi kwi...
nimekupata sana Jmushi niliudhika sana walipo kufungia.Sasa naona upo Gado.
Ni kweli hawa jamaa wasichangie chochote bungeni.,

We subiri tu...Utasikia MCHANGO MARA WA CHENGE,LOWASA NA WENGINEO..Walisharuhusiwa kufanya hivyo na mwenyekiti na katibu wa chama chao cha MAFISADI..Hao CCM wanatekeleza amri za viongozi wao na hivyo nashangazwa na hii mikwala ya Mama Killango..Tuone na yeye atafanya nini wakati mafisadi waliotakiwa kuwa segerea wakijadili mustakabali wa nchi yetu huko bungeni huku wakichekeana kuwa wametupiga bao!

Haya niliyaona toka zamani pale mama Meghji alipodai eti zile kampuni za EPA zilipishwe kodi badala ya kutaifishwa...Conflicts of interests still persists...We are here to see the END...Whether good or bad..Will depend on the resolve of the PATRIOTS TOGETHER WITH THE PEOPLE OF THE ALMIGHTY GOD WHO CHOSE US TO BE FREE OF EVIL SPIRITS AND ALL THAT CONSTITUTES TO THE DEMISE OR OUR NATION.
 
Bajeti ishapitishwa na MAFISADI!
Tanzania TUMEKWISHA...WANANCHI WAAMKE WADAI HAKI YAO INAYOELEKEA KUZIKWA MA MAFISADI!
 
Back
Top Bottom