Wabunge: Mafao, kodi zetu na Uwiano wa hadhi ya Maisha yao

Phillemon Mikael

Platinum Member
Nov 5, 2006
10,517
8,582
Katika siku za karibuni kumekuwa na kilio kikubwa cha wabunge kutaka kuongezewa mafao yao..Hii imeenda mbali zaidi hasa pale wabunge wa jirani zetu Kenya walipotembelea bunge. Inajulikana wazi kuwa majirani zetu uchumi wao ni mkubwa. Nahisi sio kipimio sawia kwa wabunge wetu kujipimia.

Kwa mfano, zaidi ya mshahara wabunge wa kenya hupewa mkopo wa gari linalofikia $80,000 na mkopo wa nyumba unaofikia kiwango hicho hicho. Hii ni mara tu bunge jipya linapoanza kazi..PIA WABUNGE HUPEWA CDF [CONTITUENT DEOLOPMENT FUND] INAYOFIKIA DOLA 500,000 AMBAYO HUDHIBITIWA NA MBUINGE HUSIKA KWA MWAKA.

LENGO LA MIKOPO HII NI:

KUINUA HADHI ZA WABUNGE hasa wakiamini kuwa mtu anaweza kuwa akiwa hana gari au nyumba ya maana inayoendana na hadhi ya cheo chake kipya...

PIA huwapa kujiamni zaidi na kuwatumikia wananchi bila kuwa na kishawishi hilo likiwa lengo. Ukamilifu wake hauwezi kuwa asilimia mia lakini NI WAZI KUWA WABUNGE WA KENYA KWA KIASI KIKUBWA WANAJITAHIDI KUISHI KWA STANDARDS...

Tukielewa kuwa POSHO wanazolipwa wabunge wetu hapa ni kodi yetu, nadhani tuna haki pia ya kuona kuwa UBORA WA MAISHA wanayoishi wabunge wetu unaweka taswira njema hata kwa wageni. Hata kama uchumi wetu mdogo lazima hadhi ya wabunge iendane na pesa tunazowalipa maana ni wawakilishi wetu. Tunajibana ili wasionekane duni ni haki kuishi kwa STANDARDS

KWA MFANO:

SITEGEMEI MBUNGE WA BUNGE LA JAMHURI AISHI NYUMBA YA KUPANGA AU AKOSE KUMILIKI WALAU NYUMBA MOJA,

SITEGEMEI MBUNGE WETU AKOSE MAKAZI YA KUDUMU JIMBONI MWAKE,

MOUNEKANO, TABIA NA MAISHA YA MBUNGE NI TASWIRA YETU!

SITEGEMEI MBUNGE AKOSE USAFIRI WA KUAMINIKA,

DODOMA KUNA NYUMBA ZA WABUNGE; SITEGEMEI MBUNGE ASHINDWE KUMUDU PANGO LA NYUMBA AU WAISHI NYUMBA KWA KUCHANGIA KAMA MAKAPERA WALIOHITIMU VYUONI KARIBUNI!

NASIKITIKA IMEWAHI KURIPOTIWA KUWA KUNA WABUNGE WALIKUWA WAKIISHI CHUMBA CHA GUEST DODOMA KWA KUCHANGIA!

OFISI YA SPIKA NA USALAMA NA HADHI YA WABUNGE....NI MUHIMU.

Spika wetu anaelewa kuwa anayo haki ya kuhakikisha maisha ya wabunge wetu ni salama na zaidi yanaendana na hadhi ya bunge kwa ujumla wake.

KAMA ITAONEKANA KUWA HILO HALIWEZEKANI BASI POSHO ZA MALAZI NA USAFIRI ZILIPWE MOJA KWA MOJA KWA WENYE NYUMBA PALE DODOMA KAMA NSSF,TANZANIA BUILDING ARGENCY N.K.

PIA KAMA ITADHIBITIKA KUWA WABUNGE WENGI WAKIPEWA MIKOPO YA PESA ZA MAGARI HAWANUNUI WACHAGUE MAGARI YANUNULIWE NA SERIKALI NA WABUNGE WAPEWE TU.

KAMA ITAONEKANA PIA PESA ZA MAFUTA WANAZOPEWA HAWAZITUMII KWENDA JIMBONI BASI SPIKA AAMURU WAWE WANAWEKEWA MAFUTA KWA TENDA[SIAMINI KAMA WATAPIGA NYOKA] MAGARI YAKARABATIWE KWENYE KARAKANA ZA SERIKALI!

MADEREVA WA WABUNGE WOTE WAPELEKE LESENI ZAO OFISI YA SPIKA KWA KUWA WANALIPWA MISHAHARA NA KODI ZETU. KAMA WABUNGE WATAAENDELEA KUAJIRI MADEREVA 'DAY WORKER' BASI ITAKUWA INAKIUKA USALAMA. MADEREVA WOTE WA WABUNGE WAAJIRIWE KWA MIKATABA NA SPIKA NA MISHAHARA YAO IONDOLEWE KWENYE POSHO ZAO NA KULIPWA NA SPIKA MOJA KWA MOJA.

NABAKI KUJIULIZA KUWA KWA NINI WABUNGE WETU WANAKUWA WABAHILI NAMNA HII NA BADO WANATAKA KUONGEZEWA POSHO WAKATI MATUMIZI YA POSHO TUNAZOWAPA KWA MOUNEKANO NA USALAMA WAO HATUYAONI....?

NAOMBA KUWASILISHA...
 
Bunge tulilonalo kwa sasa ni kubwa mno ukilinganisha na uwezo wa uchumi wa nchi yetu. Halina tija wala haliisimamii vizuri Serikali in fact linaonekana kama idara ya serikali. Kuna viti MAALUM vingi tu sijui kwa manufaa ya nani hasa. Nadhani kila HALIMASHAURI ingekuwa na Mbunge mmoja angetosha kabisa. Badala yake tungeongeza idadi ya MADIWANI wakawa ni kutoka kila KIJIJI badala ya KATA. Baada ya hapo tunaweza kufikiria kuwaongezea MAFAO, marupurupu,... ambayo yatasimamiwa vizuri na kwa uwazi.
 
Nayafikiria maisha ya wangwe;
1. alioga maji ya karai tena akijipelekea bafuni mwenyewe.
2. alitumia corolla ltd tena used, gari ya bei ya chini kuliko zote.
3. Nyumba ya Tarime ni yaudongo tena haina lip.
4. hakuwa na dereva aliendesha mwenyewe

Hakika huyu alikuwa jemedari wa vita na kamanda aliyefia mstari wa mbele. Je tumebakiza makamanda wangapi? tuko hatua gani vitani? je turetreat au tosonge mbele?

kamanda Zitto kakomaa kutuliza mzuka Tarime hadi mwisho, kamanda Mbowe keshatoroka.

Nakumbuka kauli ya Joseph Kony "hakuna suluhu tupigane hadi nife"
 
Katika siku za karibuni kumekuwa na kilio kikubwa cha wabunge kutaka kuongezewa mafao yao..Hii imeenda mbali zaidi hasa pale wabunge wa jirani zetu Kenya walipotembelea bunge. Inajulikana wazi kuwa majirani zetu uchumi wao ni mkubwa. Nahisi sio kipimio sawia kwa wabunge wetu kujipimia.

Kwa mfano, zaidi ya mshahara wabunge wa kenya hupewa mkopo wa gari linalofikia $80,000 na mkopo wa nyumba unaofikia kiwango hicho hicho. Hii ni mara tu bunge jipya linapoanza kazi..PIA WABUNGE HUPEWA CDF [CONTITUENT DEOLOPMENT FUND] INAYOFIKIA DOLA 500,000 AMBAYO HUDHIBITIWA NA MBUINGE HUSIKA KWA MWAKA.

LENGO LA MIKOPO HII NI:

KUINUA HADHI ZA WABUNGE hasa wakiamini kuwa mtu anaweza kuwa akiwa hana gari au nyumba ya maana inayoendana na hadhi ya cheo chake kipya...

PIA huwapa kujiamni zaidi na kuwatumikia wananchi bila kuwa na kishawishi hilo likiwa lengo. Ukamilifu wake hauwezi kuwa asilimia mia lakini NI WAZI KUWA WABUNGE WA KENYA KWA KIASI KIKUBWA WANAJITAHIDI KUISHI KWA STANDARDS...

Tukielewa kuwa POSHO wanazolipwa wabunge wetu hapa ni kodi yetu, nadhani tuna haki pia ya kuona kuwa UBORA WA MAISHA wanayoishi wabunge wetu unaweka taswira njema hata kwa wageni. Hata kama uchumi wetu mdogo lazima hadhi ya wabunge iendane na pesa tunazowalipa maana ni wawakilishi wetu. Tunajibana ili wasionekane duni ni haki kuishi kwa STANDARDS

KWA MFANO:

SITEGEMEI MBUNGE WA BUNGE LA JAMHURI AISHI NYUMBA YA KUPANGA AU AKOSE KUMILIKI WALAU NYUMBA MOJA,

SITEGEMEI MBUNGE WETU AKOSE MAKAZI YA KUDUMU JIMBONI MWAKE,

MOUNEKANO, TABIA NA MAISHA YA MBUNGE NI TASWIRA YETU!

SITEGEMEI MBUNGE AKOSE USAFIRI WA KUAMINIKA,

DODOMA KUNA NYUMBA ZA WABUNGE; SITEGEMEI MBUNGE ASHINDWE KUMUDU PANGO LA NYUMBA AU WAISHI NYUMBA KWA KUCHANGIA KAMA MAKAPERA WALIOHITIMU VYUONI KARIBUNI!

NASIKITIKA IMEWAHI KURIPOTIWA KUWA KUNA WABUNGE WALIKUWA WAKIISHI CHUMBA CHA GUEST DODOMA KWA KUCHANGIA!

OFISI YA SPIKA NA USALAMA NA HADHI YA WABUNGE....NI MUHIMU.

Spika wetu anaelewa kuwa anayo haki ya kuhakikisha maisha ya wabunge wetu ni salama na zaidi yanaendana na hadhi ya bunge kwa ujumla wake.

KAMA ITAONEKANA KUWA HILO HALIWEZEKANI BASI POSHO ZA MALAZI NA USAFIRI ZILIPWE MOJA KWA MOJA KWA WENYE NYUMBA PALE DODOMA KAMA NSSF,TANZANIA BUILDING ARGENCY N.K.

PIA KAMA ITADHIBITIKA KUWA WABUNGE WENGI WAKIPEWA MIKOPO YA PESA ZA MAGARI HAWANUNUI WACHAGUE MAGARI YANUNULIWE NA SERIKALI NA WABUNGE WAPEWE TU.

KAMA ITAONEKANA PIA PESA ZA MAFUTA WANAZOPEWA HAWAZITUMII KWENDA JIMBONI BASI SPIKA AAMURU WAWE WANAWEKEWA MAFUTA KWA TENDA[SIAMINI KAMA WATAPIGA NYOKA] MAGARI YAKARABATIWE KWENYE KARAKANA ZA SERIKALI!

MADEREVA WA WABUNGE WOTE WAPELEKE LESENI ZAO OFISI YA SPIKA KWA KUWA WANALIPWA MISHAHARA NA KODI ZETU. KAMA WABUNGE WATAAENDELEA KUAJIRI MADEREVA 'DAY WORKER' BASI ITAKUWA INAKIUKA USALAMA. MADEREVA WOTE WA WABUNGE WAAJIRIWE KWA MIKATABA NA SPIKA NA MISHAHARA YAO IONDOLEWE KWENYE POSHO ZAO NA KULIPWA NA SPIKA MOJA KWA MOJA.

NABAKI KUJIULIZA KUWA KWA NINI WABUNGE WETU WANAKUWA WABAHILI NAMNA HII NA BADO WANATAKA KUONGEZEWA POSHO WAKATI MATUMIZI YA POSHO TUNAZOWAPA KWA MOUNEKANO NA USALAMA WAO HATUYAONI....?

NAOMBA KUWASILISHA...
pm wabunge kama sisi wananchi kila mmoja tunatakiwa kufanyakazi, kupata mafao ya haki kulinganisha na hali ya maisha, na tunahitaji ku save visenti tunavyopata.
Lakini baadhi ya wabunge wetu ni walevi, na wahongaji wazuri sana. Wanapiga ulabu kweli kweli na wengi wanamiliki nyumba za nyuma au niseme nyumba za uani au nipasue nyumba ndogo kila wanakotembelea. Hapo Dodoma tu unakuta si nyumba ndogo tena bali vijumba vidogo kibao.
Unadhani hata ukiwapa milioni 50 kila mmoja zitamtosha?
Wafanye kazi tulizowatuma kufanya. Wakiona hazina masilahi waache wengine tulio tayari kuwatumikia wananchi kwa visenti kidogo hivyo tuingie bungeni.
 
pm wabunge kama sisi wananchi kila mmoja tunatakiwa kufanyakazi, kupata mafao ya haki kulinganisha na hali ya maisha, na tunahitaji ku save visenti tunavyopata.
Lakini baadhi ya wabunge wetu ni walevi, na wahongaji wazuri sana. Wanapiga ulabu kweli kweli na wengi wanamiliki nyumba za nyuma au niseme nyumba za uani au nipasue nyumba ndogo kila wanakotembelea. Hapo Dodoma tu unakuta si nyumba ndogo tena bali vijumba vidogo kibao.
Unadhani hata ukiwapa milioni 50 kila mmoja zitamtosha?
Wafanye kazi tulizowatuma kufanya. Wakiona hazina masilahi waache wengine tulio tayari kuwatumikia wananchi kwa visenti kidogo hivyo tuingie bungeni.


MF ....ukiangalia bungeni kuna wabunge wa daraja tatu...la kwanza kuna wanaoishi maisha ya kufuru ....kuna ambao wanamudu hata kukodisha ndege kwenda jimboni.....hawa wanamudu kubadili suti mpya ya versace kila kikao....

kuna wabunge wanaoishi maisha ya kawaida ambayo ndio tunataka angalau waishi hayo..wana gari nzuri kama inavyotakiwa na bunge,wanamudu kukodi nyumba nzima au hoteli...

kuna kundi la wabunge ambao hawana hata usafiri na hata dodoma wanaishi kwenye hoteli..za bei nafuu ....na hata kufikia kushea ...sidhani kama hivi ni sawa...

lakini kaka umenichekesha kuniambia kuwa pesa zao zinaishia kwa dadas..ze poas ...nyumba nyingi...je wanawake???
 
Hivi jamani naomba kufahamu muundo wa bunge la wenzetu wakenya.Je,lina wabunge wangapi? wawakilishi wa majimbo ni wangapi na wangapi ni wakuteuliwa. maana hayo maposho wanayopigwa si haba jamani! Kwa uchumi wa nchi kama ya kwetu ni ngumu sana ngumu sana kuwalipa wabunge wetu posho kama hizo!
 
Nayafikiria maisha ya wangwe;
1. alioga maji ya karai tena akijipelekea bafuni mwenyewe.
2. alitumia corolla ltd tena used, gari ya bei ya chini kuliko zote.
3. Nyumba ya Tarime ni yaudongo tena haina lip.4. hakuwa na dereva aliendesha mwenyewe

Sipendi kuhoji ila eddy kwani kama una ka uwezo kidogo kakuoga maji yaliyochemshwa ni lazima tu uoge ya baridi ili uonekane mpiganaji!!!!!
 
Mkuu PM,

Ndio maana nchi inajenga mafisadi shauri ya mawazo kama hayo kufikiria wabunge wanastahili hadhi zaidi ya wananchi wa kawaida. Ndio maana matapeli wamevamia siasa badala ya watu wenye nia na lengo la kuleta mabadiliko.

Bungeni isiwe mahali kwa kuchumia. Kama mtu anataka kuchuma aende kwenye biashara au ajira kwenye private companies kama ana uwezo mkubwa.

Wabunge wa miaka ya 70 hawakuwa na kitu lakini walikuwa wanachapa kazi kuliko hawa wa sasa ambao kazi ni kushinda Dar, kushinda kwenye kamati na semina huku kwenye majimbo yao kunaangamia.

In fact inatakiwa ipunguzwe, mishahara ya wabunge ni mikubwa mno. Hiyo ni kazi ya wito na wala sio mahali pa kuchuma. Kama mtu anataka utajiri, ajiunge na wengine kwenye mabox.
 
MF ....ukiangalia bungeni kuna wabunge wa daraja tatu
kuna kundi la wabunge ambao hawana hata usafiri na hata dodoma wanaishi kwenye hoteli..za bei nafuu ....na hata kufikia kushea ...sidhani kama hivi ni sawa...

Mkuu naomba mwongozo zaidi katika hili kundi la tatu la wabunge. Naomba ufafanuzi zaidi. Hivi hawa wa kundi la tatu, hawapokei ule mshahara wa mwezi wa zaidi ya milioni moja, hawapati marupurupu ya mafuta ya lita 1000(?) kwa mwezi?, hawapati posho za vikao vya bunge?, bima ya afya?, mkopo wa nyenzo za usafiri?, mifuko ya maendeleo ya majimbo?

Naomba mwongozo mkuu
 
Mkuu naomba mwongozo zaidi katika hili kundi la tatu la wabunge. Naomba ufafanuzi zaidi. Hivi hawa wa kundi la tatu, hawapokei ule mshahara wa mwezi wa zaidi ya milioni moja, hawapati marupurupu ya mafuta ya lita 1000(?) kwa mwezi?, hawapati posho za vikao vya bunge?, bima ya afya?, mkopo wa nyenzo za usafiri?, mifuko ya maendeleo ya majimbo?

Naomba mwongozo mkuu


...kaka wanapata kila kitu kama wenzao..tatizo linakuja kwenye mis appropriation ya mapesa waliyopata.....kwa pesa wanayolipwa wabunge inawatosha kuishi maisha mazuri ya kawaida...lakini wapi...wengi wanaaendekeza hanasa....na kuishia kuishi maisha ya ajabu ajabu....that is not fair...hiyo ni aina nyingine ya ufisadi....na wanatuaibisha.......just imagine una mfanyakazi wako umemuajiri unamlipa milioni kumi au dola $10,000 kwa mwezi .....na umemkopesha na gari...unampa entertainment allowances ets..halafu ashindwe kuja kazini ..sababu ya kukosa usafiri wa dala dala....

so simply this MP gets everything but they mis use funds or they save money for elections....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom