Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,682
- 8,233
Inakuwaje mtunga sheria ambaye ni muhimili wa nguzo ya serikali anawekwa kolokoloni.
Kitendo cha kuwaweka wabunge kolokoloni ni lazima kilaaniwe na hatua kali za kisheria zichukuliwe kwa viongozi waliosaini arrest warrant, Kwanza washitakiwe kwa kuvuka mipaka yao kisheria pili hata wale waliompiga mbunge wawajibishwe. Kama Serikali hawawezi kuona demokrasi inafanyika hatuwezi kukaa kimya na kuwaangalia.
Askari polisi hawana mamlaka ya kiutendaji i.e. be above the legislators, Je, office ya Bunge waliarifiwa kuhusu hilo na kama hapana ni kwa nini? Je, rais Mwizi aliambiwa kwamba kuna wabunge wako ndani? Kama aliambiwa alichujua hatua gani? Natumaini sasa ni wakati mzuri sana wa kufanya mambo vile inavyotakiwa na kama sivyo itakuwa sokombino nchi nzima.
Kitendo cha kuwaweka wabunge kolokoloni ni lazima kilaaniwe na hatua kali za kisheria zichukuliwe kwa viongozi waliosaini arrest warrant, Kwanza washitakiwe kwa kuvuka mipaka yao kisheria pili hata wale waliompiga mbunge wawajibishwe. Kama Serikali hawawezi kuona demokrasi inafanyika hatuwezi kukaa kimya na kuwaangalia.
Askari polisi hawana mamlaka ya kiutendaji i.e. be above the legislators, Je, office ya Bunge waliarifiwa kuhusu hilo na kama hapana ni kwa nini? Je, rais Mwizi aliambiwa kwamba kuna wabunge wako ndani? Kama aliambiwa alichujua hatua gani? Natumaini sasa ni wakati mzuri sana wa kufanya mambo vile inavyotakiwa na kama sivyo itakuwa sokombino nchi nzima.