Nilikuwa nakisikiliza bunge jana usiku, nikasikia mbunge wa Karagwe Brandesi akiuliza swali la msingi kwamba kuna dispensary zaidi ya tano za kata tofauti jimboni kwake ambazo ziliomba dawa mbali mbali lakini katika bajeti hajasikia pesa ilo tengwa kwa shughuli hiyo, na kwa msingi huo ina maana mwaka wote huu hizo dispensary hazitapa hata asprini!
Jibu la waziri ilikuwa ni kweli barua ilifika March wakisha panga bajeti na hizo pesa hazipo kwahiyo hizo dawa hazitakuwepo kwa mwaka mzima!
Nilicho shangaa ni huyo huyo mbunge Brandesi aliye uliza hilo swali na kupewa jibu kwamba hakuna dawa hata moja itapelekwa kwa dispensary hizo alipo kuwa kati ya wabunge wote walio unga hoja asilimia mia moja. Ina maana anaridhika na kutopata dawa mwaka mzima? kama la kwanini aliunga mkono asilimia mia moja? Na vipi hatima ya hao watu wake kutokuwa na dawa mwaka mzima?
Je hilo jibu la waziri linajali maslahi ya walalahoi watakao kufa mwaka mzima kwa kukosa panado?
Jibu la waziri ilikuwa ni kweli barua ilifika March wakisha panga bajeti na hizo pesa hazipo kwahiyo hizo dawa hazitakuwepo kwa mwaka mzima!
Nilicho shangaa ni huyo huyo mbunge Brandesi aliye uliza hilo swali na kupewa jibu kwamba hakuna dawa hata moja itapelekwa kwa dispensary hizo alipo kuwa kati ya wabunge wote walio unga hoja asilimia mia moja. Ina maana anaridhika na kutopata dawa mwaka mzima? kama la kwanini aliunga mkono asilimia mia moja? Na vipi hatima ya hao watu wake kutokuwa na dawa mwaka mzima?
Je hilo jibu la waziri linajali maslahi ya walalahoi watakao kufa mwaka mzima kwa kukosa panado?