Nyetk
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,648
- 1,696
atakua kalia mana nimemwona akishikashika macho, teh teh teh alafu jana alijifichapinda hajalia kweli? maana huyo kwa kulialia ni balaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ilo neno..tutakuwa na control sasa ivi mpaka mapamba watusapoti kaazi kweli kweliinabidi 2015 cdm tupate wabunge hata mia hivi ili haya mambo ya kura ya kutokua na imani na waziri mkuu tupige kura wenyewe tu...magamba wazushi sana.
Nahitaji kuona saini ya mwigulu nchemba imo! ikikosekana tutajua cha kumfanya.
Hizo sahihi zingetakiwa muda huu ambao wabunge bado wana munkari zingepatikana zaidi ya saini 200.
Kwakuwa ni mpaka kesho wabunge wa ccm lazima wakafanye kikao cha dharura ya kuwatosa wananchi na kuwalinda wezi, kwa maana ya kutoweka saini ya kupiga kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu.
Ila Zitto tayari ana sahihi ya Deo na Zambi.
zito kazini anatafuta kura za wabunge 71
sababu bunge halina meno ya kuwawajibisha mawaziri ila wabunge wanauwezo wa kumwajibisha waziri mkuu
swali:
Wakina filikunjombe watatoa saini kumwajibisha wanaojiita mwanachama mwenzake?
Wananchi tuone wabunge wetu wapo kweli au ni kerere za chura