UMEKOSEA KIDOGO MKUU MBOWE ALITUAMBIA MBUNGE MMOJA WA CHADEMA NI SAWA NA WABUNGE 50 WA CCM??
Imagine mapendekezo muhimu kama ayo yalotolewa na john mnyika yanaishia kupingwa na wabunge wa ccm, that is rediculus,
my take: Nashauri kwa yeyote alomchagua mbunge wa ccm 2010 akatubu na ikibidi hakacheki yawezekana akili yake imeshake kama ya the great ***** may be (alipigwa concession)
Jamani mimi sikupiga kura 2010, lakini nafuatilia bunge. Kusema ukweli wale waliopigia kura chadema hongereni sana na mungu atawalipa maana mmetusaidia na sisi watanzania wengine! Lakini waliopigia ccm mlitusaliti sisi watanzania wapenda haki na maendeleo! Wabunge wa ccm ni wachumia tumbo!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.