Wabunge wa upinzani nchini Kenya wametoka bungeni kwa hasira katika mji mkuu wa Nairobi, wakisema kuwa baadhi yao walinyanyaswa bungeni mapema asubuhi.
Kikao hicho maalum ambacho vyombo vya habari havikuruhusiwa kuingia kilitarajiwa kupigia kura marekebisho ya sheria ya uchaguzi ambayo inaruhusu kuhesabiwa kwa kura moja baada ya nyingine katika uchaguzi wa urais mwaka ujao badala ya utaratibu wa kutumia majumuisho ya computer. .
Baadhi ya wabunge hao walikuwa wakivuja damu kutokana na kipondo toka kwa wenzao wa chama tawala.
Hii si mara ya kwanza kwa wabunge wa Kenya kupigana bungeni. Ni aibu kwa wawakilishi wa wananchi kupigana bila aibu.
Chanzo: BBC swahili
Kikao hicho maalum ambacho vyombo vya habari havikuruhusiwa kuingia kilitarajiwa kupigia kura marekebisho ya sheria ya uchaguzi ambayo inaruhusu kuhesabiwa kwa kura moja baada ya nyingine katika uchaguzi wa urais mwaka ujao badala ya utaratibu wa kutumia majumuisho ya computer. .
Baadhi ya wabunge hao walikuwa wakivuja damu kutokana na kipondo toka kwa wenzao wa chama tawala.
Hii si mara ya kwanza kwa wabunge wa Kenya kupigana bungeni. Ni aibu kwa wawakilishi wa wananchi kupigana bila aibu.
Chanzo: BBC swahili