Wabunge jitolee mishahara na posho ya 2020

Bishweko

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
3,281
2,423
Heshima kwenu wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ( JMT). Nawaomba sana tena kwa heshima yenu kua wasaidieni vijana wetu waliopo Vyuo Vikuu ambao wamekosa mkopo wa Serikali ili waweze kuendelea na masomo yao.

Vyuo mbali mbali apa nchi Tanzania kuna vijana watanzania wakike na kiume ambao wamekosa mikopo kutoka HESLB tangu waingia apo vyuoni.

Wengi wao wanaishi maisha magumu sana,wanabebana,wanakosa chakula na wengine waishia kukata tamaa kabisa.Nyie ni wawakirishi wao na sisi ambao tupo nje ya Bunge ingawa tunajitahidi kuwasaidia ata kwa kulipa kodi ya serikali.

Nawaomba sana tena sana okoeni kizazi hiki,okoeni wadogo zenu,ndugu zenu ata kwa kujitolea posho na mshahara wenu wa msimu mmoja wa Bunge utatosha angalua miaka mitatu. Hata ikishindikana basi ikopesheni Serikali nayo iwakopeshe hao watoto( wanafunzi) wetu ili wasome vizuri na kuja kulijenga ili Taifa.

Ahsante sana ila nawaomba ili lisiwe suala la itikadi za vyama vya Siasa.Nawashukuru sana.

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu ibariki Afrika
Mungu bariki Bunge la JMT.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heshima kwenu wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ( JMT). Nawaomba sana tena kwa heshima yenu kua wasaidieni vijana wetu waliopo Vyuo Vikuu ambao wamekosa mkopo wa Serikali ili waweze kuendelea na masomo yao.

Vyuo mbali mbali apa nchi Tanzania kuna vijana watanzania wakike na kiume ambao wamekosa mikopo kutoka HESLB tangu waingia apo vyuoni.

Wengi wao wanaishi maisha magumu sana,wanabebana,wanakosa chakula na wengine waishia kukata tamaa kabisa.Nyie ni wawakirishi wao na sisi ambao tupo nje ya Bunge ingawa tunajitahidi kuwasaidia ata kwa kulipa kodi ya serikali.

Nawaomba sana tena sana okoeni kizazi hiki,okoeni wadogo zenu,ndugu zenu ata kwa kujitolea posho na mshahara wenu wa msimu mmoja wa Bunge utatosha angalua miaka mitatu. Hata ikishindikana basi ikopesheni Serikali nayo iwakopeshe hao watoto( wanafunzi) wetu ili wasome vizuri na kuja kulijenga ili Taifa.

Ahsante sana ila nawaomba ili lisiwe suala la itikadi za vyama vya Siasa.Nawashukuru sana.

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu ibariki Afrika
Mungu bariki Bunge la JMT.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wabunge wanalipwa mishahara isiyolingana na Elimu yao Wala majukumu yao. Enzi za awamu ya kwanza uwiano wa kima Cha juu Cha mishahara ya watumishi wa umma ilikuwa 1:9 yaani Tzs100:900. Sasa hivi ni 1:55.5 yaani tzs 270,000:15,000,000! Huo ni uonevu na wizi wa mchana. Haiji akilini kwa nini mbunge alipwe tzs 11,000,000 kwa sifa ya kujua KUSOMA NA KUANDIKA TU. Yaani mbunge anamzidi rais anayelipwa Tzs 9,000,000! Uwiano urekebishwe na serikali ionekane inatenda haki kwa watumishi wote. Daktari 1,400,000 mbunge 9m! Uwiano urudi 1:9 kwa wa juu kupunguzwa na wa chini kuongezwa pamoja na mafao ya wastaafu ambao wengi wanalipwa tzs 100,000 tu kwa mwezi ilingane na kima Cha chini cha mishahara wa watumishi wa umma. Wabunge najua watapinga lkn rais anayo amri(Executive Order) kwa maslahi ya umma inawezekana kwa soko ni moja na bucha ni moja kwa rais na kwa mhudumu wa ofisi.
 
Heshima kwenu wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ( JMT). Nawaomba sana tena kwa heshima yenu kua wasaidieni vijana wetu waliopo Vyuo Vikuu ambao wamekosa mkopo wa Serikali ili waweze kuendelea na masomo yao.

Vyuo mbali mbali apa nchi Tanzania kuna vijana watanzania wakike na kiume ambao wamekosa mikopo kutoka HESLB tangu waingia apo vyuoni.

Wengi wao wanaishi maisha magumu sana,wanabebana,wanakosa chakula na wengine waishia kukata tamaa kabisa.Nyie ni wawakirishi wao na sisi ambao tupo nje ya Bunge ingawa tunajitahidi kuwasaidia ata kwa kulipa kodi ya serikali.

Nawaomba sana tena sana okoeni kizazi hiki,okoeni wadogo zenu,ndugu zenu ata kwa kujitolea posho na mshahara wenu wa msimu mmoja wa Bunge utatosha angalua miaka mitatu. Hata ikishindikana basi ikopesheni Serikali nayo iwakopeshe hao watoto( wanafunzi) wetu ili wasome vizuri na kuja kulijenga ili Taifa.

Ahsante sana ila nawaomba ili lisiwe suala la itikadi za vyama vya Siasa.Nawashukuru sana.

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu ibariki Afrika
Mungu bariki Bunge la JMT.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa Habari itawafikia
 
Kwan wabunge sindo wale wanaosemag graduates wajiajiri wakati hawana mitaji ilhali wao wanayo na hawataki kuachia ajira mpaka watumbuliweee.
Najarib kutafakari Tu kwa sauti
 
Heshima kwenu wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ( JMT). Nawaomba sana tena kwa heshima yenu kua wasaidieni vijana wetu waliopo Vyuo Vikuu ambao wamekosa mkopo wa Serikali ili waweze kuendelea na masomo yao.

Vyuo mbali mbali apa nchi Tanzania kuna vijana watanzania wakike na kiume ambao wamekosa mikopo kutoka HESLB tangu waingia apo vyuoni.

Wengi wao wanaishi maisha magumu sana,wanabebana,wanakosa chakula na wengine waishia kukata tamaa kabisa.Nyie ni wawakirishi wao na sisi ambao tupo nje ya Bunge ingawa tunajitahidi kuwasaidia ata kwa kulipa kodi ya serikali.

Nawaomba sana tena sana okoeni kizazi hiki,okoeni wadogo zenu,ndugu zenu ata kwa kujitolea posho na mshahara wenu wa msimu mmoja wa Bunge utatosha angalua miaka mitatu. Hata ikishindikana basi ikopesheni Serikali nayo iwakopeshe hao watoto( wanafunzi) wetu ili wasome vizuri na kuja kulijenga ili Taifa.

Ahsante sana ila nawaomba ili lisiwe suala la itikadi za vyama vya Siasa.Nawashukuru sana.

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu ibariki Afrika
Mungu bariki Bunge la JMT.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na hela zao walizohonga wakati wa kampeni watazirudisha lini?
 
Wabunge wanalipwa mishahara isiyolingana na Elimu yao Wala majukumu yao. Enzi za awamu ya kwanza uwiano wa kima Cha juu Cha mishahara ya watumishi wa umma ilikuwa 1:9 yaani Tzs100:900. Sasa hivi ni 1:55.5 yaani tzs 270,000:15,000,000! Huo ni uonevu na wizi wa mchana. Haiji akilini kwa nini mbunge alipwe tzs 11,000,000 kwa sifa ya kujua KUSOMA NA KUANDIKA TU. Yaani mbunge anamzidi rais anayelipwa Tzs 9,000,000! Uwiano urekebishwe na serikali ionekane inatenda haki kwa watumishi wote. Daktari 1,400,000 mbunge 9m! Uwiano urudi 1:9 kwa wa juu kupunguzwa na wa chini kuongezwa pamoja na mafao ya wastaafu ambao wengi wanalipwa tzs 100,000 tu kwa mwezi ilingane na kima Cha chini cha mishahara wa watumishi wa umma. Wabunge najua watapinga lkn rais anayo amri(Executive Order) kwa maslahi ya umma inawezekana kwa soko ni moja na bucha ni moja kwa rais na kwa mhudumu wa ofisi.
Hakuna Rais anae pokea milioni tisa Tz ...hii habari ilianza 1/04/2016 ila ukiuliza lini Bunge lilipitisha ilo hamna jibu
 
Back
Top Bottom