Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,691
Unesahau wanavyomkimbia na kuweka makaratas midomoniUnauhakika??
Unesahau wanavyomkimbia na kuweka makaratas midomoniUnauhakika??
Unesahau wanavyomkimbia na kuweka makaratas midomoni
Kweli lakini naona kama kuna unafiki hapaIli vita hii iishe haraka na kwa ufanisi anzeni na kumuondoa naibu spika TULIA AKSON kwanza... Vita hii tutashinda asubuhi sana.
Nawatakia utekelezaji mwema.
Mkuu Vipi Boss Wako Membe Anaendeleaje?Hahahahahaaaaaa. Hamtafanikiwa kamwe