GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Wabunge wa CCM mnachowafanya Bashiru na Humprey Polepole ni kuwadhalilisha, Kumbukeni hawa watu ndio mliokuwa mnawaheshimu kwa kuwa karibu na Mwenyekiti.
Yanayoendelea Bungeni kunanga miradi ya Bwawa la maji kuwa haifai bali Gesi ndio umeme wa kisasa, Bashiru Ally kaufyata kimya anaogopa hata kuinua mdomo kuchangia na kutetea au kuwatisha wabunge kama zamani kuwa wa jadili kwa staha.
Yanayoendelea Bungeni kunanga mtu mmoja kufanya maamuzi bila kufuata taratibu za manunuzi, Humphrey na Bashiru wameufyata kimya. Enzi zao wangewaita hao wabunge na kuwatisha kuwafukuza ubunge au kuwajadili kwenye vikao vya maadili vya chama
Hakika mbwembwe zao Bashiru na Polepole zimefika tamati na kuhitimishwa, Sasa wamegeuka waoga kama konokono anavyoficha kichwa na pembe zake akihisi hatari
Na iwe Funzo na Fundisho kwa watu kujiona wenye nchi, Tanzania ni Kubwa kuliko mtu, Tutaishi na waliishi wakaondoka
Tanzania walikuwepo mamwamba kama Chief Mkwawa, Chief Songea lakini wote waliondoka Tanzania ipo.
Hivi kuna mtu alikuwa mwamba na kiburi wenye kuteka, kutwaa maeneo kama Chief Mkwawa na Chief Songea lakini waliacha Tanzania
Wewe Polepole na Bashiru ni nani?
Yanayoendelea Bungeni kunanga miradi ya Bwawa la maji kuwa haifai bali Gesi ndio umeme wa kisasa, Bashiru Ally kaufyata kimya anaogopa hata kuinua mdomo kuchangia na kutetea au kuwatisha wabunge kama zamani kuwa wa jadili kwa staha.
Yanayoendelea Bungeni kunanga mtu mmoja kufanya maamuzi bila kufuata taratibu za manunuzi, Humphrey na Bashiru wameufyata kimya. Enzi zao wangewaita hao wabunge na kuwatisha kuwafukuza ubunge au kuwajadili kwenye vikao vya maadili vya chama
Hakika mbwembwe zao Bashiru na Polepole zimefika tamati na kuhitimishwa, Sasa wamegeuka waoga kama konokono anavyoficha kichwa na pembe zake akihisi hatari
Na iwe Funzo na Fundisho kwa watu kujiona wenye nchi, Tanzania ni Kubwa kuliko mtu, Tutaishi na waliishi wakaondoka
Tanzania walikuwepo mamwamba kama Chief Mkwawa, Chief Songea lakini wote waliondoka Tanzania ipo.
Hivi kuna mtu alikuwa mwamba na kiburi wenye kuteka, kutwaa maeneo kama Chief Mkwawa na Chief Songea lakini waliacha Tanzania
Wewe Polepole na Bashiru ni nani?